Nashauri WATANZANIA muache dini za kikoloni [ Ukristo na Uislam ] maana sioni sababu ya WATANZANIA kuendelea kuuenzi ukoloni kupitia dini.
πππππUna Nongwa WeweNa hiyo rangi
Hata suti ni vazi la kikoloni. Vazi letu sisi ni kutembea uchi ama kuvaa magome ya miti
Huyu anatakiwa ashitakiwe kwa kukidhalilisha chakula/kiungo,huko kwao si ndio watu wamekumbwa na njaa?View attachment 2343515
MK254 ona huyu ameshiriki kupeleka mashitaka ya kutoridhishwa na matokeo ya kura za uraisi. Wakenya mmevurugwa
Sisi wenyewe wabongo tunaendekeza ukoloni.Sijaona sababu ya wakenya kuvaa mavani ya kikoloni mahakamani.
View attachment 2343487
View attachment 2343744