Nashauri kesho viongozi wa yanga twendeni CAS au FIFA. Tukakumbushie kesi ya Morrison, huyu mchezaji anakera sana

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Nashauri kesho viongozi wa yanga twendeni CAS au FIFA. Tukakumbushie kesi ya Morrison.huyu mchezaji ana kera sana.anakera mpaka mwisho.

Jana tena ametonesha kidonda kwa kusababisha faulo na kusababisha goal.tena unamwona kabisa anamwambia Luis nenda kafunge...na Luis anamsikiliza anaachia shut lile utadhani anataka kumuua tembo.

Ni Morrison ndo chanzo. Afungiwe huyu jamaa. Ana akili na mtukutu sana. Hafai kucheza hapa Bongo. goal lake Luis Morrison lirudiwe,lirudiwe sisi wengine hatukuluona lirudiwe.
 
Tff bado hawajafkia Ile kamari Yao ya saa 72
 
Wewe ni Kilaza tu kama vilaza wa Tandahimba.
 
Uzi umewalaza Utopwenga na viatu vyenye tope.😝😝😝😝😝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…