Nashauri litengenezwe jarida la yote yaliyozungumzwa Mahakamani Kwenye Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na Wenzake

Mm huwa nikimisi Yale maswali namtafuta either Brazaj, Erythrocytes, Nyendo nk nacheki nyuz naanza kujisomea vimbwanga vya akina Kingai, Mahita nk
 
@ Yericko Nyerere nadhani umeusoma uzi huu
 
Naunga mkono hili nasi tupate elimu kuhusu GPO na kujua ni nani alimkalia kingai kwenye lile gari la polisi 🤣
 
Ni wazo zuri Sana,lakini tusubiri watu chuki iliyosababishwa na mashahidi wa uongo ipoe.Unajua nahisi wale akina Kingai na wenzie wote,hawataishi Kwa amani Kwa muda mrefu sana hapa Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…