Nashauri masuala ya kijeshi yabaki kuwa siri

Nashauri masuala ya kijeshi yabaki kuwa siri

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Nimekkuwa nikiona katika sherehe muhimu za Kitaifa majeshi yetu yanaonyesha vifaa vyao vya kivita na umahiri wao katika fani zao. Katika sherehe hizi tunakuwa na wageni mbalimbali na wengine wametoka nje ya nchi yetu na huwa wanashuhudia yote yanayofanywa na majeshi yetu katika sherehe hizi.

Binafsi naishauri Mamlaka kuwa mambo ya kijeshi yabaki ni siri ya nchi yetu na siyo kuwaonyesha wageni vifaru vyetu, ndege zetu za kivita nk. Nimeona nitoe ushauri huo na kama ikipendeza basi tuache kuonyesha mambo yetu ya kijeshi katika sherehe za Kitaifa.
 
Nimekkuwa nikiona katika sherehe muhimu za Kitaifa majeshi yetu yanaonyesha vifaa vyao vya kivita na umahiri wao katika fani zao. Katika sherehe hizi tunakuwa na wageni mbalimbali na wengine wametoka nje ya nchi yetu na huwa wanashuhudia yote yanayofanywa na majeshi yetu katika sherehe hizi.

Binafsi naishauri Mamlaka kuwa mambo ya kijeshi yabaki ni siri ya nchi yetu na siyo kuwaonyesha wageni vifaru vyetu, ndege zetu za kivita nk. Nimeona nitoe ushauri huo na kama ikipendeza basi tuache kuonyesha mambo yetu ya kijeshi katika sherehe za Kitaifa.
Vyuma chakavu sio vifaa vya kivita
 
Nadhani zipo silaha ambazo zinaendelea kuwa siri, sio silaha zote zinaweza kuoneshwa.
Lakin pia nchi yetu inahitaji kuongeza bajeti kwenye Jeshi letu la ulinzi ili kuongeza silaha bora zaidi na mafunzo
 
Nimekkuwa nikiona katika sherehe muhimu za Kitaifa majeshi yetu yanaonyesha vifaa vyao vya kivita na umahiri wao katika fani zao. Katika sherehe hizi tunakuwa na wageni mbalimbali na wengine wametoka nje ya nchi yetu na huwa wanashuhudia yote yanayofanywa na majeshi yetu katika sherehe hizi.

Binafsi naishauri Mamlaka kuwa mambo ya kijeshi yabaki ni siri ya nchi yetu na siyo kuwaonyesha wageni vifaru vyetu, ndege zetu za kivita nk. Nimeona nitoe ushauri huo na kama ikipendeza basi tuache kuonyesha mambo yetu ya kijeshi katika sherehe za Kitaifa.
Isaiah 39:6
[6]
Tazama, siku zinakuja, ambazo vitu vyote vilivyomo nyumbani mwako, na hivyo vilivyowekwa akiba na baba zako hata leo, vitachukuliwa mpaka Babeli; hapana kitu cho chote kitakachosalia; asema BWANA.
 
Vyuma chakavu sio vifaa vya kivita
Hivi mkuu, unajua Rpg hizi hizi wakiwa Nazo raia wahalifu zinatesa watu, Al shaabab hata viatu hawana lakini matendo Yao wakiwa na hivyo vitu unavyosema ni vifaa chakavu unajua hatari yake, nawapongeza sana Jwtz kwa juhudi zao za kuilinda nchi yetu
 
Nimekkuwa nikiona katika sherehe muhimu za Kitaifa majeshi yetu yanaonyesha vifaa vyao vya kivita na umahiri wao katika fani zao. Katika sherehe hizi tunakuwa na wageni mbalimbali na wengine wametoka nje ya nchi yetu na huwa wanashuhudia yote yanayofanywa na majeshi yetu katika sherehe hizi.

Binafsi naishauri Mamlaka kuwa mambo ya kijeshi yabaki ni siri ya nchi yetu na siyo kuwaonyesha wageni vifaru vyetu, ndege zetu za kivita nk. Nimeona nitoe ushauri huo na kama ikipendeza basi tuache kuonyesha mambo yetu ya kijeshi katika sherehe za Kitaifa.
Hata nchi zilizoendelea wanaonesha silaha zao kwenye sherehe mbalimbali. Mfano China ,NK na urusi.
Nafikiri wataalamu walishaona kujimwambafai ni Bora kuliko kuyaficha hayo madude
 
Usiri wa jeshi uko katika mifumo mbali mbalimbali ya kiutendaji.....
Ya kawaida, imezuiliwa, confidential,Secret,&Top Secret nk.Nategemea wananchi wasiwe na wasiwasi na Jeshi la Mabeyo. Mizinga,vifaru nk ni vya mwaka 1969 na bunduki AK 47 kwetu Kenya ni bunduki za kiraia.Adui huwezi kumtadhimini kwa parade ya vifaa vya kijeshi
 
Sasa hata masanja anatoa ushauri wa kuomba mechi ndio ujue tulipofika palivyo pabaya.

Suala la ulinzi ni gumu sana na ndio maana unakuta watu kama tigray, alshaababu, na wabaya wengine wao hawakuwahi kufanya maonyesho ya zana zao lakini ndio wanatulaza na viatu.
 
Usiri wa jeshi uko katika mifumo mbali mbalimbali ya kiutendaji.....
Ya kawaida, imezuiliwa, confidential,Secret,&Top Secret nk.Nategemea wananchi wasiwe na wasiwasi na Jeshi la Mabeyo. Mizinga,vifaru nk ni vya mwaka 1969 na bunduki AK 47 kwetu Kenya ni bunduki za kiraia.Adui huwezi kumtadhimini kwa parade ya vifaa vya kijeshi
Al shabab wanasemaje hapo kismayu mmeshawamaliza????
 
Tuna kipi cha kuwaficha hao wageni wa nje...

Wakati technolojia tunayotumia ni ya kwao...
 
Tupo tofauti kweli kweli.
Mkandamizaji yeye kashauri kafanyike kampambano kakirafiki maana vifaa vinaota kutu.
 
Mkandamizaji stupid.Je amewahi kuona machafuko yanavyotesa Rais? Vita ya Kagera alikuwa amezaliwa?Wananchi kutoka Kyaka hadi Kigoma kwa miguu.Hizo porojo zake atesti mitambo kwa mke wake
 
Nadhani zipo silaha ambazo zinaendelea kuwa siri, sio silaha zote zinaweza kuoneshwa.
Lakin pia nchi yetu inahitaji kuongeza bajeti kwenye Jeshi letu la ulinzi ili kuongeza silaha bora zaidi na mafunzo

Naunga mkono hoja. Hivyo vifaru vya miaka ya 80 ni aibu kwa Nchi iliyoko uchumi wa kati.
 
Kawaambie Police na CCM ndiyo wanaofanya mambo yawe hivi!!!
 
Back
Top Bottom