MWANA WA UFALME JF-Expert Member Joined Sep 10, 2010 Posts 578 Reaction score 144 Nov 5, 2010 #1 Tatizo lililoikumba nec achilia mbali kuwa ni wakala wa ccm, pia kuna tatizo la integrity ya hao viongozi. Nashauri hata kukiwa na tume huru iweze kuwa na uwakilishi wa viongozi wa dini katika ngazi mbali mbali.
Tatizo lililoikumba nec achilia mbali kuwa ni wakala wa ccm, pia kuna tatizo la integrity ya hao viongozi. Nashauri hata kukiwa na tume huru iweze kuwa na uwakilishi wa viongozi wa dini katika ngazi mbali mbali.
J JokaKuu Platinum Member Joined Jul 31, 2006 Posts 34,188 Reaction score 62,952 Nov 5, 2010 #2 ..kwa jinsi udini unavyoshika kasi ni bora viongozi wakidini wasikuwepo ktk meza ya maamuzi.
Domo Kaya JF-Expert Member Joined May 29, 2007 Posts 531 Reaction score 60 Nov 5, 2010 #3 kweli huu ni uhuru wa maoni!dah!some ppl e...