Hawa watu hawapendi na hawajui amani, angalia jinsi Magufuli alivyokuwa mshari na muuajiSubirini mpaka Mpango atakapokuwa Raisi wa pili wa Kihutu.
Utawala wa Sasa wa Rwanda ni kivuruge, tuvumilie mpaka uondoke madarakaniSubirini mpaka Mpango atakapokuwa Raisi wa pili wa Kihutu.
Mimi nashauri atawazwe awe Mwami.Utawala wa Sasa wa Rwanda ni kivuruge, tuvumilie mpaka uondoke madarakani
Kagame ni kiongozi kama rais wa urusi, ni mtu anayependa na kujivunia vita.
Jumuiya ya Afrika Mashariki ilifanya makosa makubwa kuiruhusu Rwanda kujiunga nayo.
Sasa ni wakati muafaka wa viongozi wa EAC kuacha unafiki na kuifukuza Rwanda ili tushi kwa amani