Nashauri serikali itoe mikopo kwa wahitimu kupitia HESLB

Nashauri serikali itoe mikopo kwa wahitimu kupitia HESLB

Joseph S

Member
Joined
May 3, 2020
Posts
13
Reaction score
15
Habari,

Naishauri serikali kupitia bodi ya mikopo HESLB ianze kutoa mikopo kwa wahitimu wa vyuo vya elimu ya juu.
mkopo uwe wa fedha taslimu milioni tano 5,000000/=. Mkopo huo utolewe katika vigezo na mazingira yafuatayo:
  • Kabla ya kuhitimu kila mhitimu atatakiwa kubuni wazo la mradi ambao ataufanya mara amalizapo chuo.Wazo la mradi huo ataliwasilisha (present) kwa uongozi wa chuo chake...na uongozi wa chuo chake ukishalipitisha ... wazo hilo atalipeleka moja kwa moja kwenye bodi ya mikopo HESLB kuombea mkopo.Bodi ya mikopo itapitia wazo hilo la mradi na ikishalipitisha basi mwanafunzi huyo apewe mkopo huo
  • Mhitimu huyo pindi atakapopewa mkopo huo, ni sharti apewe supervisor (afsa biashara) kama ni wazo la kibiashara na (afisa kilimo) kama wazo linahusu kilimo
  • hitimu asipewe mkopo wote kwa mkupuo bali kwa awamu.Katika kutekeleza mradi wake mhitimu kupitia supervisor wake na mamlaka ya anapofanyia biashara atatakiwa kuwa anawasilisha taarifa ya maerndeleo ya mradi wake kabla ya kupewa fedha za awamu nyingine.
  • Mhitimu atatakiwa kubaki chini ya usiimamizi mpaka pale mradi wake utakapokuwa stable na kuhakikisha amerejesha fedha yote aliyokopa.
FAIDA ZA WAZO HILI
  • Itatengeneza sprit ya kujiajiri kwa wasomi wetu.
  • italeta creativity kwa wasomi wetu kwani akili na maarifa yao itakuwa inawaza project gani unique wafanye pindi wamalizapo chuo.
  • Tatizo la ajira litapungua kwakiasi kikubwa.
  • bodi ya mikopo HESLB itafanikiwa kwakiasi kikubwa kurejesha fedha zake kwani wahitimu wengi watakuwa na uwezo wa kurejesha mikopo yao kuliko ilivyo sasa.
THANK YOU
 
Idea iko safi kabisa Mkuu.
Ila kwa wanasiasa hawa wa bongo kuanzia CCM,CDM,ACT hawawezi kubali.
Wao wanachoweza ni kujiongozea mishahara tu.
 
Faida za wazo hilo, ndio inatakiwa iwe hivyo, lakini hapo juu kwa upande wangu kuna upungufu wa wazo lako...
 
Asilimia 99 ya wanachuo wanafikiria kuajiriwa na serikali.

Asilimia 80 ya wanachuo wakipata pesa hiyo wataishia starehe.

Akili za wanachuo wanazijua wenyewe
 
Brilliant idea. Na hii itaondoa dhana ya kubebeshana riba zisizoisha za HESLB. Na kwa haraka HESLB itakuwa na nguvu kubwa ya kujiendesha na kutoa mikopo kwa wanafunzi wengi zaidi. Pia, itawafanya walioko vyuoni kuanza kuwaza jambo la kufanya kabla ya kumaliza masomo na hivyo kupata ushauri mwingi na wa kutosha juu ya mradi anaoufikiria.

Naunga Mkono hoja ya mleta mada.
 
Asilimia 99 ya wanachuo wanafikiria kuajiriwa na serikali.

Asilimia 80 ya wanachuo wakipata pesa hiyo wataishia starehe.

Akili za wanachuo wanazijua wenyewe

Hoja mezani ni wahitimu, ambao tayari hela ya boom walinunua subwoofer tu!
 
Brilliant idea. Na hii itaondoa dhana ya kubebeshana riba zisizoisha za HESLB. Na kwa haraka HESLB itakuwa na nguvu kubwa ya kujiendesha na kutoa mikopo kwa wanafunzi wengi zaidi. Pia, itawafanya walioko vyuoni kuanza kuwaza jambo la kufanya kabla ya kumaliza masomo na hivyo kupata ushauri mwingi na wa kutosha juu ya mradi anaoufikiria.

Naunga Mkono hoja ya mleta mada.
hakika mkuu
 
Hoja mezani ni wahitimu, ambao tayari hela ya boom walinunua subwoofer tu!
issue hapa ni kwamba hela iongezwe..mwaka wa mwisho wapewe na hela ya kwenda kuanzishia miradi huku wakisimamiwa vilivyo....pesa hiyo itoke kwa awamu..na kulingana na userious wa anayetekeleza mradi huo
 
Habari,

Naishauri serikali kupitia bodi ya mikopo HESLB ianze kutoa mikopo kwa wahitimu wa vyuo vya elimu ya juu.
mkopo uwe wa fedha taslimu milioni tano 5,000000/=. Mkopo huo utolewe katika vigezo na mazingira yafuatayo:
  • Kabla ya kuhitimu kila mhitimu atatakiwa kubuni wazo la mradi ambao ataufanya mara amalizapo chuo.Wazo la mradi huo ataliwasilisha (present) kwa uongozi wa chuo chake...na uongozi wa chuo chake ukishalipitisha ... wazo hilo atalipeleka moja kwa moja kwenye bodi ya mikopo HESLB kuombea mkopo.Bodi ya mikopo itapitia wazo hilo la mradi na ikishalipitisha basi mwanafunzi huyo apewe mkopo huo
  • Mhitimu huyo pindi atakapopewa mkopo huo, ni sharti apewe supervisor (afsa biashara) kama ni wazo la kibiashara na (afisa kilimo) kama wazo linahusu kilimo
  • hitimu asipewe mkopo wote kwa mkupuo bali kwa awamu.Katika kutekeleza mradi wake mhitimu kupitia supervisor wake na mamlaka ya anapofanyia biashara atatakiwa kuwa anawasilisha taarifa ya maerndeleo ya mradi wake kabla ya kupewa fedha za awamu nyingine.
  • Mhitimu atatakiwa kubaki chini ya usiimamizi mpaka pale mradi wake utakapokuwa stable na kuhakikisha amerejesha fedha yote aliyokopa.
FAIDA ZA WAZO HILI
  • Itatengeneza sprit ya kujiajiri kwa wasomi wetu.
  • italeta creativity kwa wasomi wetu kwani akili na maarifa yao itakuwa inawaza project gani unique wafanye pindi wamalizapo chuo.
  • Tatizo la ajira litapungua kwakiasi kikubwa.
  • bodi ya mikopo HESLB itafanikiwa kwakiasi kikubwa kurejesha fedha zake kwani wahitimu wengi watakuwa na uwezo wa kurejesha mikopo yao kuliko ilivyo sasa.
THANK YOU
Mnahamisha jukumu la familia (wazazi) kulipeleka HESLB mtakuja kusema Bodi iwalipie na Mahari
 
issue hapa ni kwamba hela iongezwe..mwaka wa mwisho wapewe na hela ya kwenda kuanzishia miradi huku wakisimamiwa vilivyo....pesa hiyo itoke kwa awamu..na kulingana na userious wa anayetekeleza mradi huo
Diamond & Harmonize hawaijui hata hiyo HESLB na Ni mabilionea kwa sasa. "Wasomi" mnaleta blah blah la mkopo waoneeni huruma wadogo zenu angalau nao wapate japo kusoma Elimu ya Juu kwa mikopo mtakayorudisha
 
Diamond & Harmonize hawaijui hata hiyo HESLB na Ni mabilionea kwa sasa. "Wasomi" mnaleta blah blah la mkopo
Nao ujue walibebwa kabla ya kuwa hapo juu...kuna watu walitoa fedha zao kuwaweka hapo walipo...ebu tuwasaidie watu hawa.
 
Back
Top Bottom