Nashauri serikali itoe mikopo kwa wahitimu kupitia HESLB

Nao ujue walibebwa kabla ya kuwa hapo juu...kuna watu walitoa fedha zao kuwaweka hapo walipo...ebu tuwasaidie watu hawa.
Loan board ndio walitoa pesa kuwabeba Diamond? Tatizo Graduates wengi Zama hizi Ni majanga jitu linapewa Mkopo linaenda kununua iPhone, Lina mademu watano litabuni wazo la biashara au kilimo saa ngapi?
 
Hili WZO NI ZURI,.linaw3za boreshwa:-

Kwasasa vyuo baadhi vina kitengo cha kulea wanafunzi wajariamali, kinachiweza fanyika hawa wajaria mali ambao ni best wamelelewa vizur kwa kipind cha miaka miwili au mmoja, tubaki na vyeti vyao kisha wapewe mkopo wa kuendeleza biashara mara tu wanapo maliza chuo, vyeti vyao watapewa baadae baada muda maalum mfano miaka miwili au mitatu
 
point mkuu...
 
Diamond & Harmonize hawaijui hata hiyo HESLB na Ni mabilionea kwa sasa. "Wasomi" mnaleta blah blah la mkopo waoneeni huruma wadogo zenu angalau nao wapate japo kusoma Elimu ya Juu kwa mikopo mtakayorudisha
Wote hatuwezi kuwa wanamuziki! Nchi inamahitaji mengi ikiwemo pia na vyanzo vya burudani. 'Dia' na 'Har' nao wanatekeleza jukumu lao la uzalishaji burudani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…