mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Hapa ni Dimba la kisiba Rungwe. Tungekuwa na serikali yenye maono ungejengwa uwanja mzuri sana hapo na hoteli kubwa sana hapo. Tungepata fedha mingi sana. Mpaka sasa hatuna uwanja unaoweza kupiga mpira usiku miaka yote ya uhuru tuliyo nayo.
Karibuni Greencity
Karibuni Greencity