Nashauri Tanzania ibadirishe jina lake

Nashauri Tanzania ibadirishe jina lake

olimpio

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2023
Posts
418
Reaction score
866
Tanzania kabla ya muungano ilikua inaitwa Tanganyika na Zanzibar, lakini ni utaratibu wa kawaida nchi kubarisha majina yake kwa sababu mbali mbali moja ya sababu hizo hua ni zifuatazo

1.Ideological change ama kubadirika kwa mtazamo wa kisiasa
Tanzania tuliwahi kujitambulisha kama nchi ya kijamaa ,hasa muda ambao jina la nchi yetu lilipokua likipatikana , kwa sasa nchi yetu sio ya kijamaa tena, wananchi na viongozi wote wana ukwasi ambao hauakisi ideology ya kijamaa tena.

2.Mabadiriko ya tamaduni
Nchi yetu ina mabadiriko makubwa sana ya kitamaduni ,kuna identity ambazo miaka hio tuliona ni norms bora sana lakini kwa sasa tumeshaziacha mbali sana, hatuzifuati tena .
Kwa watu wanaofuatilia mambo haya duniani watakubaliana na mimi kuwa kuanzia miaka ya 90 hadi sasa kuna nchi si chini ya 10 zimeshabadirisha majina yao.

Hata kisheria hii hua inamsaada mkubwa sana,wanaotudai tunaweza kukaa nao mezani upya ,tutawaambia mnaidai Tanzania sisi sasa hivi tunaitwa MegaLand
 
Hapo kwenye madeni na mikataba tata, njia hii imetumika sana Nchi zingine.

Lakini kwetu, tunaweza kuvunja mikataba hiyo kisheria bila madhara yoyote sababu ilikiuka Sheria za nchi na haikufuata matakwa kisheria yanayotaka wananchi washirikishwe!!
 
Tanzania kabla ya muungano ilikua inaitwa Tanganyika na Zanzibar, lakini ni utaratibu wa kawaida nchi kubarisha majina yake kwa sababu mbali mbali moja ya sababu hizo hua ni zifuatazo

1.Ideological change ama kubadirika kwa mtazamo wa kisiasa
Tanzania tuliwahi kujitambulisha kama nchi ya kijamaa ,hasa muda ambao jina la nchi yetu lilipokua likipatikana , kwa sasa nchi yetu sio ya kijamaa tena, wananchi na viongozi wote wana ukwasi ambao hauakisi ideology ya kijamaa tena.

2.Mabadiriko ya tamaduni
Nchi yetu ina mabadiriko makubwa sana ya kitamaduni ,kuna identity ambazo miaka hio tuliona ni norms bora sana lakini kwa sasa tumeshaziacha mbali sana, hatuzifuati tena .
Kwa watu wanaofuatilia mambo haya duniani watakubaliana na mimi kuwa kuanzia miaka ya 90 hadi sasa kuna nchi si chini ya 10 zimeshabadirisha majina yao.

Hata kisheria hii hua inamsaada mkubwa sana,wanaotudai tunaweza kukaa nao mezani upya ,tutawaambia mnaidai Tanzania sisi sasa hivi tunaitwa MegaLand
Namna nzuri ya kuvunja mikataba kanfamizi ni kuvunja muungano, maana wakoloni wanadai tanzania sio tanganyika
 
Namna nzuri ya kuvunja mikataba kanfamizi ni kuvunja muungano, maana wakoloni wanadai tanzania sio tanganyika
na kamwe hawawezi kuruhusu muungano uvunjike maana huo muungano ndo kichaka kikubwa cha unyonyaji wa rasilimali za tanganyika
 
Back
Top Bottom