mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Habari ni za saizi,
Ndugu wa Tanzania kutokana na Janga la corona ningeshauri serikali na NEC wachukue maamuz ya kutumia technologia katika kipindi cha uchaguzi.
Technologia ninazo pendekeza ni kama vile Video conference na matumizi ya radio +TV's kufanyia Kampeni.
Mbili ni app maalum ya kupigia kura
Faida zake
Itapunguza gharama za uchaguzi
Itapunguza vurugu za muda huu Mimi nilitakiwa niwe hapa lakini Fulani bado wanafanya kampeni hapa
Inaongeza ufanisi juu ya matokeo yanayopatikana
Inaondoa hofu na malalamiko
Itapunguza adha za huyu hakupiga kura kwa kuwa alikuwa mbali na kituo alichojiandikishia kwa kuwa kila moja atapiga kura ilimradi amejiandikisha.
NB: inawezekana kabisa tukapunguza msongamano kwenye mikutano ya kampeni na Vituo vya kupigia kura.
App zinatengenezwa na vijana wa ndani hapa hapa. Reference ni vyuo vikuu vyetu wanatumia app kupiga kura kwa serikali za wanafunzi.
Tubadilike tuwe na akili
Ndugu wa Tanzania kutokana na Janga la corona ningeshauri serikali na NEC wachukue maamuz ya kutumia technologia katika kipindi cha uchaguzi.
Technologia ninazo pendekeza ni kama vile Video conference na matumizi ya radio +TV's kufanyia Kampeni.
Mbili ni app maalum ya kupigia kura
Faida zake
Itapunguza gharama za uchaguzi
Itapunguza vurugu za muda huu Mimi nilitakiwa niwe hapa lakini Fulani bado wanafanya kampeni hapa
Inaongeza ufanisi juu ya matokeo yanayopatikana
Inaondoa hofu na malalamiko
Itapunguza adha za huyu hakupiga kura kwa kuwa alikuwa mbali na kituo alichojiandikishia kwa kuwa kila moja atapiga kura ilimradi amejiandikisha.
NB: inawezekana kabisa tukapunguza msongamano kwenye mikutano ya kampeni na Vituo vya kupigia kura.
App zinatengenezwa na vijana wa ndani hapa hapa. Reference ni vyuo vikuu vyetu wanatumia app kupiga kura kwa serikali za wanafunzi.
Tubadilike tuwe na akili