marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,019
- 1,824
Kutokana na ukweli kua hakuna Simba bila Yanga na uwepo wa clabu moja ndio chachu ya maendeleo kwa clabu nyingine hasa zenye upinzani kama Simba na Yanga basi ni lazima hivi vilabu vitengenezewe namna ya vyote kua na furaha muda wote ili tuendeeleee kuwa navyo kama vilabu pacha.
Yanga hawajachukua kombe la ligi kuu kwa mwaka wa 4 sasa, na kama ukiwatazama vizuri sajiri zao na mipango ya alafu ukija kuitazama Clabu ya Simba ni wazi kua Yanga Inaweza kukaa miaka mingine zaidi ya mi 4 bila ubingwa.
licha ya kuto kua mabingwa clabu ya Yanga imekua vizuri sana kwenye mechi zao wanapo kutana na mtani wao yani Simba
na hili limekua ni faraja sana kwa clabu hii yenye makazi yake Maeneo ya jangwa hasa kwa mashabiki na viongozi.
Hivyo nashauri mamlaka zenye dhamana kwa maana ya bodi ya ligi na TFF waandae kakombe kadogo dogo kwa ajiri ya Yanga pindi wanapo mfunga mtani wao Simba ili huzuni yao ya kukosa ubingwa muda mrefu ipungue.
Hii itasaidia Yanga kupunguza malalamiko yasio ya lazima kwa waamuzi na kesi zisizo isha kwa wachezaji wa Simba kama Morisson.
Ikimbukwe kumuona mtani anabeba makombe tuu mfululizo kila msimu inauma sana ni busara kujari na kuwasaidia wasio jiweza hasa pale wanapo hitaji ..kwasasa Yanga wana uhitaji ni vyema tuka watazama kwa jicho la huruma.
Yanga hawajachukua kombe la ligi kuu kwa mwaka wa 4 sasa, na kama ukiwatazama vizuri sajiri zao na mipango ya alafu ukija kuitazama Clabu ya Simba ni wazi kua Yanga Inaweza kukaa miaka mingine zaidi ya mi 4 bila ubingwa.
licha ya kuto kua mabingwa clabu ya Yanga imekua vizuri sana kwenye mechi zao wanapo kutana na mtani wao yani Simba
na hili limekua ni faraja sana kwa clabu hii yenye makazi yake Maeneo ya jangwa hasa kwa mashabiki na viongozi.
Hivyo nashauri mamlaka zenye dhamana kwa maana ya bodi ya ligi na TFF waandae kakombe kadogo dogo kwa ajiri ya Yanga pindi wanapo mfunga mtani wao Simba ili huzuni yao ya kukosa ubingwa muda mrefu ipungue.
Hii itasaidia Yanga kupunguza malalamiko yasio ya lazima kwa waamuzi na kesi zisizo isha kwa wachezaji wa Simba kama Morisson.
Ikimbukwe kumuona mtani anabeba makombe tuu mfululizo kila msimu inauma sana ni busara kujari na kuwasaidia wasio jiweza hasa pale wanapo hitaji ..kwasasa Yanga wana uhitaji ni vyema tuka watazama kwa jicho la huruma.