Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Mpira ni furaha sio uadui
Nashauri tu kama inawezekana Yanga na Simba wakubaliane kama kuna wapenzi wa Simba wanataka kuja kuiona Yanga
Wawaruhusu kwa makubaliano yao maalum watumie tiketi zao walizonunua kwa ajili ya mechi ya Constantines ambayo wamepigwa nyundo kuhudhuria
Mpira siio ushetani. Najua watani walitaman kujazana Jumapili
CAF wamewapenda zaidiii. Wakati sasa wa kuongeza nguvu kwa timu yetu ya Yanga kuishangiliaaaaa
Mungu awatie nguvu umoja n nguvu utengano udhaifu
Kila la kheri Yanga na Simba
Nashauri tu kama inawezekana Yanga na Simba wakubaliane kama kuna wapenzi wa Simba wanataka kuja kuiona Yanga
Wawaruhusu kwa makubaliano yao maalum watumie tiketi zao walizonunua kwa ajili ya mechi ya Constantines ambayo wamepigwa nyundo kuhudhuria
Mpira siio ushetani. Najua watani walitaman kujazana Jumapili
CAF wamewapenda zaidiii. Wakati sasa wa kuongeza nguvu kwa timu yetu ya Yanga kuishangiliaaaaa
Mungu awatie nguvu umoja n nguvu utengano udhaifu
Kila la kheri Yanga na Simba