Uchaguzi 2020 Nashauri Tundu Lissu kuweka Mawakala wa kuhesabu kura zake

Uchaguzi 2020 Nashauri Tundu Lissu kuweka Mawakala wa kuhesabu kura zake

LESIRIAMU

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2008
Posts
9,006
Reaction score
14,536
Mwaka 2015 CHADEMA walipoteza kura nyingi sana kwa kuwa hapakuwa na mawakala serious wa kura za Urais.

Ilikuwa mawakala wako kwa ajili ya wabunge na udiwani. Mara diwani na mbunge akishapata matokeo yake basi mawakala hawakuwa tena serious kufuatilia kura za rais.

Maeneo ambayo CHADEMA haikusimamisha wabunge ndiko zaidi kura zilpotea nyingi kwa vile mawakala hapakuwa na wakala kabisa.

Ushauri CHADEMA mara hii mjipange hata kule NEC iliko wanyima Watanzania haki yao ya kuchagua mbunge na diwani lazima muweke mawakala wa kura za Rais.

Zaidi kule tume ambako ndiko central talking ya kura za Rais kuna takiwa mawakala serious zaidi. Nakumbuka aliyekuwa mwenyekiti wa NEC kipindi kile alikuwa anataja namba tofauti na zilizokuwa zina ita kwenye screen za tv.

Mara hii kuweni makini sana. Hawa CCM wameshalegea.
 
Tunashauri mawakala wote wa CDM wale kiapo cha kisheria cha utii..endapo ikithibitika wakala kakisaliti chama either kwa rushwa ama njama yoyote ile basi kiapo chake hicho kimtie hatiani.

Mawakala wengi watanunukiwa ama kurubuniwa na CCM, Chadema muwe makini sana.
 
Mmeanza habari za mawakala mapema hii?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
CDM bhna
Mmesha shikwa nyeti. Karata yenu iliyo baki ni wizi tuu. Na hiyo tunaipatia dawa yake sasa. Maana hata kupitisha wabunge bila kupingwa ni mkakati ili Chadema wasiweke mawakala ili nyie mpitishie huko mabox ya kura za maruhani. Sasa mwaka huu imekula kwenu.
 
Ushauri kuntu maana Lisu kisha shinda uchaguzi. Kilichobakia ni kudhibiti wizi tu.
 
Mwaka 2015 CHADEMA walipoteza kura nyingi sana kwa kuwa hapakuwa na mawakala serious wa kura za Urais.

Ilikuwa mawakala wako kwa ajili ya wabunge na udiwani. Mara diwani na mbunge akishapata matokeo yake basi mawakala hawakuwa tena serious kufuatilia kura za rais.

Maeneo ambayo CHADEMA haikusimamisha wabunge ndiko zaidi kura zilpotea nyingi kwa vile mawakala hapakuwa na wakala kabisa.

Ushauri CHADEMA mara hii mjipange hata kule NEC iliko wanyima Watanzania haki yao ya kuchagua mbunge na diwani lazima muweke mawakala wa kura za Rais.

Zaidi kule tume ambako ndiko central talking ya kura za Rais kuna takiwa mawakala serious zaidi. Nakumbuka aliyekuwa mwenyekiti wa NEC kipindi kile alikuwa anataja namba tofauti na zilizokuwa zina ita kwenye screen za tv.

Mara hii kuweni makini sana. Hawa CCM wameshalegea.
Ndio, .... mle ndani ... walikumbana na aina za UKATILI wa kitaaluma. Aidha WANASAINI au mateso walioonjeshwa. Wengi walisaini
 
Chadema mbona mmechelewa sana leo ndio mnawaza mawakala? Hahahha hata hivyo amuwezi kushinda kamwe!
 
Tumeshamwelewa Tundu Lissu tunasubiri kumpa kura zote ili atangazwe Rais
 
Mimi binafsi nipo tayari kuwa wakala kwa hiari kabisaaaa! Eneo lolote la kanda ya kaskazini, nipo tayari!
 
CCM ni kama malaya ameshavua nguo kilichobaki ni sisi wananchi kuichomeka dudu tu ifikapo trh 28 oktoba.
 
Back
Top Bottom