Nashauri Tusisome kwa kufata mkumbo

Nashauri Tusisome kwa kufata mkumbo

Abel james

Senior Member
Joined
Jun 12, 2014
Posts
103
Reaction score
8
Wanafunzi wengi sana husoma kwa kufuata mkumbo eti wanatafuta sifa za kuitwa wanasayansi wengi wao ni vilaza watupu vichwa vyao ni kabage tu, huishia kujisifia na tucomb huku wakiendelea kuandaa vyombo vya kutagia mayai necta.

Wengi wao hudharau hata wanaosoma art wakijidai wao ni madoctor na maengeneer, wengine wanadhubutu ata kuvaa kanzu za laboratory kitaa, wengi wametaga na tunao kitaa, huku ma artist wakiongoza kwa kufahuru vizuri, kupata vyuo, na kupass vizur pia vyuoni, wakati huo hao jamaa wanabak kupiga miayo kitaa wakiwaona wenzao wakipeta na maisha,wanabak tuu na history nilisomaga sayansi, mpendwa usiige kunya kwa tembo utapasuka makalio!
 
niliwahi kuwashauri madogo miaka ya nyuma kuwa ‘hakuna faida ya kujiita unasona kombi ngumu ukapata 0 na anayesoma kombi rahisi akaenda chuo kikuu.!’ Walionielewa mpaka leo huwa wananishukuru kwa kuwafumbua macho!!
 
Hakuna kombi ngumu hata moja" zote sawa! Shule ndiyo shida! Shule ya PCM au PCB haina hata kitabu kimoja wala maabara! Pili wadogo zetu hawasomi na sayansi kama hujui hujui tofauti na art. So Mimi nawasisitiza wadogo zetu wasiwe wanachagua masomo ya kwenda nayo kwa sababu hayamati sana huku mbele, muhimu ni kusoma masomo yote Tisa halafu mwisho unachagua uendeleee na yapi kwani tunachokifanyaga ukishachaguliwa unaangalia hiyo shule kombi IPI inafaulisha na we we unabadili.
 
lazma uangalie ht upepo wa ajira ckuhz kuna watu wa art wanamadegree wapo mtaan wamejaa
 
Ninajamaa yangu hapa kamaliza degree ya sharia 3yr..tunapiga dip ya ed....hapa..vp ni ajra ngumu au sayans.
 
Member Array


Join Date : 26th July 2014
Posts : 38
Rep Power : 311
Likes Received2
Likes Given4


[h=2]
icon1.png
Re: Kombi ngumu,maisha magumu na kufahuru kazi ,zero kibaooo[/h]
mimi hata sijamuelewaa huyu jamaa...kwanza we kombi gani.​

we hujamwelewa tu watu wenye maneno mengiiii wanasoma comb zp?
 
kama hamjajua nilikua najibu hoja ya aliyeandika uzi humu kuwa ogopeni kusoma kombi dhaifu za art,wanasayans mnadharau sana
 
wanafunzi weng sana husoma kwa kufuata mkumbo eti wanatafuta sifa za kuitwa wanasayansi weng wao ni vilaza watupu vichwa vyao ni kabage tu, huishia kujisifia na tucomb huku wakiendelea kuandaa vyombo vya kutagia mayai necta, wengi wao hudharau hata wanaosoma art wakijidai wao ni madoctor na maengeneer, wengine wanadhubutu ata kuvaa kanzu za laboratory kitaa, wengi wametaga na tunao kitaa, huku ma artist wakiongoza kwa kufahuru vizuri, kupata vyuo, na kupass vizur pia vyuoni, wakati huo hao jamaa wanabak kupiga miayo kitaa wakiwaona wenzao wakipeta na maisha,wanabak tuu na history nilisomaga sayansi, mpendwa usiige kunya kwa tembo utapasuka makalio!

Hujielewi wewe,namba huzijui unaishia kuponda comb zenye akili,hujiulizi kwanini heslb wanatoa priority kwa course za sayance?kaa tu uwaze hvy hvy ila ujue umeshapotea wewe!
 
kama hamjajua nilikua najibu hoja ya aliyeandika uzi humu kuwa ogopeni kusoma kombi dhaifu za art,wanasayans mnadharau sana

Hahahahaha usikimbizane na upepo mdogo wangu utaumia, usidhani wote ni BRN.
 
Back
Top Bottom