Nashauri uongozi wa simba sport club, usipeleke timu uwanjani tarehe 20/4/2024

Nashauri uongozi wa simba sport club, usipeleke timu uwanjani tarehe 20/4/2024

Abeltrainer

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2013
Posts
245
Reaction score
473
Kwa kweli kila nikivuta picha, naona tunaenda kukutana na gharika kuu, yaani naona tukipigwa goli kumi, zikipungua sana nane.

Sasa ili kuepukana na hili gharika, kwa kweli tuweke mpira kwapani, tuwaachie point tatu, na tff watukate tu hizo point zao tisa

Binafsi sitaangalia mpira,wala kutumia mitandao ya kijamii kuanzia tarehe 19/4 mpaka tarehe 26/4

Kama mashujaa wametushinda, hawa jamaa si watatupoteza kabisa

Mo out, try again out, mangungu out
 
Kwa kweli kila nikivuta picha, naona tunaenda kukutana na gharika kuu, yaani naona tukipigwa goli kumi, zikipungua sana nane
Sasa ili kuepukana na hili gharika, kwa kweli tuweke mpira kwapani, tuwaachie point tatu, na tff watukate tu hizo point zao tisa

Binafsi sitaangalia mpira,wala kutumia mitandao ya kijamii kuanzia tarehe 19/4 mpaka tarehe 26/4

Kama mashujaa wametushinda, hawa jamaa si watatupoteza kabisa

Mo out, try again out, mangungu out
Dah Moja ya adhabu ya kutopeleka timu uwanjani ni kushushwa daraja...
 
Hii timu tangu aondoke Babra imepoteza mvuto kabisa,hakuna viongozi pale wote ni mizigo.

Sasa tufanyaje mkuu, kwa sababu tunaenda kupata aibu ya kihistoria
Tumshukuru Mungu hatuna la kufanya....R.I.P Hanspope
 
Kitakacho wakuta tar 20!
2123535674.jpg
 
Kwa kweli kila nikivuta picha, naona tunaenda kukutana na gharika kuu, yaani naona tukipigwa goli kumi, zikipungua sana nane.

Sasa ili kuepukana na hili gharika, kwa kweli tuweke mpira kwapani, tuwaachie point tatu, na tff watukate tu hizo point zao tisa

Binafsi sitaangalia mpira,wala kutumia mitandao ya kijamii kuanzia tarehe 19/4 mpaka tarehe 26/4

Kama mashujaa wametushinda, hawa jamaa si watatupoteza kabisa

Mo out, try again out, mangungu out
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.



JamiiForums1683832807.jpg
Screenshot_2023-11-23-13-56-10-25_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Kwa kweli kila nikivuta picha, naona tunaenda kukutana na gharika kuu, yaani naona tukipigwa goli kumi, zikipungua sana nane.

Sasa ili kuepukana na hili gharika, kwa kweli tuweke mpira kwapani, tuwaachie point tatu, na tff watukate tu hizo point zao tisa

Binafsi sitaangalia mpira,wala kutumia mitandao ya kijamii kuanzia tarehe 19/4 mpaka tarehe 26/4

Kama mashujaa wametushinda, hawa jamaa si watatupoteza kabisa

Mo out, try again out, mangungu out
Tarehe 20, goli 20
 
Kwa kweli kila nikivuta picha, naona tunaenda kukutana na gharika kuu, yaani naona tukipigwa goli kumi, zikipungua sana nane.

Sasa ili kuepukana na hili gharika, kwa kweli tuweke mpira kwapani, tuwaachie point tatu, na tff watukate tu hizo point zao tisa

Binafsi sitaangalia mpira,wala kutumia mitandao ya kijamii kuanzia tarehe 19/4 mpaka tarehe 26/4

Kama mashujaa wametushinda, hawa jamaa si watatupoteza kabisa

Mo out, try again out, mangungu out
Tarehe 20, goli 20
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.



View attachment 2959089View attachment 2959091
Mechi za dabi hazitabiriki ndug
 
Kwa kweli kila nikivuta picha, naona tunaenda kukutana na gharika kuu, yaani naona tukipigwa goli kumi, zikipungua sana nane.

Sasa ili kuepukana na hili gharika, kwa kweli tuweke mpira kwapani, tuwaachie point tatu, na tff watukate tu hizo point zao tisa

Binafsi sitaangalia mpira,wala kutumia mitandao ya kijamii kuanzia tarehe 19/4 mpaka tarehe 26/4

Kama mashujaa wametushinda, hawa jamaa si watatupoteza kabisa

Mo out, try again out, mangungu out
Simba hatokubali kufungwa hiyo mechi na atashinda kuwa mpole
 
Waache waende wakafungwe, si wanalipwa mishahala.
Wafungwe hata goli kumi.
Timu ya Wazee
 
Hii timu tangu aondoke Babra imepoteza mvuto kabisa,hakuna viongozi pale wote ni mizigo.


Tumshukuru Mungu hatuna la kufanya....R.I.P Hanspope
Babra alipigwa vita sana for nothing. akina mangungu na team yake wameshika madaraka kiko wapi?
either mtafute ceo mwingine au babra arud otherwise mtaendelea hiv hiv
 
Back
Top Bottom