Josse kongolo
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 449
- 990
Au hata tuwawekee wachezaji dawa waharishe mwanzo mwishoHivi kwani hatuwezi kusingizia msiba mzito kwa mfano tukachukua jeneza tukamweka hata zimbwe sisi hao mochwali then ikifika usiku tunautangazia umma kuwa zimbwe kafufuka na hakuwa amefariki ila alikua mahututi tuu ili tff wasogeze mechi mbele
Kwa siku za karibuni zimekuwa zinatabirikaGame za simba na yanga hazipo hvyo kwahyo usiogope kiongozi
kuwaua hapana ila cha moto mtskipataNilikuwa naangalia marudio ya mamelody na yanga, nikaangalia na hii. Game yetu ya leo na mashujaa, aisee..... Hawa jamaa watatuua
Kwani ile ya AZAM mlifanya hivyo?Hivi kwani hatuwezi kusingizia msiba mzito kwa mfano tukachukua jeneza tukamweka hata zimbwe sisi hao mochwali then ikifika usiku tunautangazia umma kuwa zimbwe kafufuka na hakuwa amefariki ila alikua mahututi tuu ili tff wasogeze mechi mbele
Bora tushushwe tu,kuliko kukutana na hiyo dhahmaDah Moja ya adhabu ya kutopeleka timu uwanjani ni kushushwa daraja...
Hili wazo limepita...mkuu ,tufanye hivyo....Hivi kwani hatuwezi kusingizia msiba mzito kwa mfano tukachukua jeneza tukamweka hata zimbwe sisi hao mochwali then ikifika usiku tunautangazia umma kuwa zimbwe kafufuka na hakuwa amefariki ila alikua mahututi tuu ili tff wasogeze mechi mbele