RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Kwa vile CCM huwa wanaiba agenda za CDM basi ningeshauri na hili la kuondoa ukomo wa madaraka walipeleke bungeni. Kwa vile Wabunge wanawakilisha wananchi kisha waamue kama ukomo uendelee au usiendelee.
Na pia katika ajira Serikali isogeze muda wa kustaafut na kua miaka 68 kwa sababu miaka ya sasa ni michache na watu wanakua Bado na nguvu za kutosha kama alizonazo ndugu na mwanamageuzi FAM.
ASANTENI.
Na pia katika ajira Serikali isogeze muda wa kustaafut na kua miaka 68 kwa sababu miaka ya sasa ni michache na watu wanakua Bado na nguvu za kutosha kama alizonazo ndugu na mwanamageuzi FAM.
ASANTENI.