matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Wakuu mtakuwa mashahidi, elimu siku hizi duniani imerahisika sana.
Sio vita tena, bali ni kutoana ujinga tu kisha kila mmoja apambane na hali yake akiishafika huko mitaani.
Sasa kumtaka mtu kwa siku moja ajibu maswali ya vitu alivyojifunza kwa miaka minne ni utamaduni uliopitwa na wakati.
Napendekeza tutumie mfumo wa Semister kama vyuoni. Mtu akimaliza kidato amalize na mambo yake.
Form Four kiwepo kipimo cha uelewa tu.
Marekani nchi ambayo ndio role model wa uelewa duniani wanatumia mfumo ninaoupendekeza naamini hata sisi hatujafikia kuwazidi maarifa na ubunifu.
Mawazo yangu ni mazuri, yachukueni au wadau mnasemaje?
Sio vita tena, bali ni kutoana ujinga tu kisha kila mmoja apambane na hali yake akiishafika huko mitaani.
Sasa kumtaka mtu kwa siku moja ajibu maswali ya vitu alivyojifunza kwa miaka minne ni utamaduni uliopitwa na wakati.
Napendekeza tutumie mfumo wa Semister kama vyuoni. Mtu akimaliza kidato amalize na mambo yake.
Form Four kiwepo kipimo cha uelewa tu.
Marekani nchi ambayo ndio role model wa uelewa duniani wanatumia mfumo ninaoupendekeza naamini hata sisi hatujafikia kuwazidi maarifa na ubunifu.
Mawazo yangu ni mazuri, yachukueni au wadau mnasemaje?