Katika kuweka chama katika heshima na ubora hatuezi kupuuzia busara za wajumbe.
Wajumbe ni jicho la wanachama!
Wanachama hatuwezi kuendelea kuwakilishwa na walemavu wa ubongo mkutano mkuu wa maamuzi!
Sipo hapa kuhoji Yericko Nyerere aliupataje ujumbe wa mkutano mkuu lakini nashauri huyo kijana asiwepo kabisa kwenye sehemu ya wajumbe!
Naomba uongozi mpya mlikumbuke hilo.
Level ya kufikiri kwake ni ndogo hatakiwi kuwakilisha wanachadema mkutano mkuu (Poor capacity of thinking)
Wajumbe ni jicho la wanachama!
Wanachama hatuwezi kuendelea kuwakilishwa na walemavu wa ubongo mkutano mkuu wa maamuzi!
Sipo hapa kuhoji Yericko Nyerere aliupataje ujumbe wa mkutano mkuu lakini nashauri huyo kijana asiwepo kabisa kwenye sehemu ya wajumbe!
Naomba uongozi mpya mlikumbuke hilo.
Level ya kufikiri kwake ni ndogo hatakiwi kuwakilisha wanachadema mkutano mkuu (Poor capacity of thinking)