Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Napendekeza hili kwa sababu nayaona maafa mbalimbali yanayowapata watu kila siku hasa pale wanaponunua vifaa vyao vidogovidogo kutoka kwa watu binafsi kama simu na kadhalka.
Nashauri pawepo na fomu maalum zitakazokuwa zinapatikana katika vituo vya polisi ambazo zitakuwa zikiuzwa kwa shs 5000 na kazi kubwa ya form hizi zitakuwa ni kuthibitisha jina halisi wa muuzaji wa kifaa husika, kitambulisho chake cha uraia alkadhalika upande wa mnunuzi, pakawepo na taadhari juu ya ubaya na madhila ya kununua vifaa visivyo halali na lipi linaweza kutokea na usumbufu wake.
Nashauri pawepo na fomu maalum zitakazokuwa zinapatikana katika vituo vya polisi ambazo zitakuwa zikiuzwa kwa shs 5000 na kazi kubwa ya form hizi zitakuwa ni kuthibitisha jina halisi wa muuzaji wa kifaa husika, kitambulisho chake cha uraia alkadhalika upande wa mnunuzi, pakawepo na taadhari juu ya ubaya na madhila ya kununua vifaa visivyo halali na lipi linaweza kutokea na usumbufu wake.