Hivi wewe kijana (King Kong) kazi yako nini? Kila thread ya jf wewe upo na umechangia.
Kama mfanyakazi basi we mzembe unaiba muda wa mwajiri.
Nakushauri fanya kazi kwa bidii acha porojo kila wakati hapa jf. Utakalia kulalamika muda wote wenzio wanajijenga.
Tafakari!