Nashindwa kuchukua hatua.

Joined
Apr 21, 2013
Posts
7
Reaction score
0
Tulipishana na mke wangu siku moja tukagombezana mimi nikajua yameisha lkn baadae nikakuta ameyaandika yale mambo yote niliyokuwa nikiyatamka na kuyatunza ndani ya sanduku lake pia kaongeza hata mambo ambayo sikuyasema. Huyu mke wangu nimempeleka chuo. Baada ya kumpigia simu kumuuliza ni nini lengo la taarifa hizo kutunzwa alilichukulia mzaha. Na kuniambia aliyaandika tu. Kumbuka namsomesha huyu mke wangu, lkn nina mashaka na siamini kama atanisaidia sana maishani maana zile kumbukumbu alizotunza zina mwelekeo wa upande wa familia yao akiwa maana kuwa mimi siithamini na vitu vingine.
 
Unapaniki bure tu Mura, na inaonekana swala la kumpeleka na kumlipia chuo mkeo linakuuma sana mang'ana. Kama uliamua kumpeleka akasome hebu fanya kwa upendo tu, usikae ukategemea aje akusaidie bana. Bora uwaze aje asaidie familia. Akikusaidia na wewe shukuru Mungu asipokusaidia basi.
 

Umenena Kambaku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…