Kelviboy
Member
- Sep 21, 2019
- 32
- 36
Licha yakwamba mambo ya kiutawala yanayumba ila acha niseme tu respect kwenu wana jf
Me kama mwanachama huru apa jf kuna mambo mawili (chanjo ya korona na tozo kwenye miamala) nashindwa kuyaelewa husan kwenye vipind hivi viwil vya utawala yaan utawa Wa jpm na huu Wa mama
Labda nianze na swala la corona me kwa kumbukumbu zangu nakumbuka kwenye utawala Wa jpm kuna karesearch ambacho kalifanyika nakuuonyesha kuwa had baadhi ya mazao (mapapai/mastafel/mafenes) yana COVID19 ivyo mzee akasema kua hakuna corona nashughuli zikaendelea kama kawaida ila baada ya kuingia Samia corona imekua IPO tena kiushenzi wanatuambia hili ni wimbi lapil viongoz ndio wamekua wapiga debe la chanjo huku wakizid kutuamasha wananch tukapate chanjo mbaya said wamesahau kua had mazao yetu nayo yana corona ivyo mi czan kama iyo chanjo itakua na umuhim kwasababu tunaenda kujikinga afu tukitoka hapo tunakula vyakula vilivyo asilika
Ukija swala la miamala Mr jpm yeye aliona njia nzur yamapato kwaserikar no kukusanya kodi kwa wafanyabiashara wakubwa pamoja na kutaifisha pesa za MAFISADI yan serikar na watu wakipato chachin ilikua kiroho safiiii shida imeanza kwa Samoa yeye ameamua kuwadekeza wafanyabiashara wakubwa na kufuata shauri za MAFISAD akaona njia nzuri yamapato nikuongeza TOZO kwenye miamala matokeo take malalamiko yamekua meng kwenye utetezi wake wakwanza alisema kati yawateja Million 50 watu million 30 ndio watahusika kwenye kodi hiyo
Huwa najiuliza je? Kwastatistic hiyo ya serikar inaonyesha kua lobo tatu yawatanzania wanauwezo huku 25% tu ndiyo maskin hapa bado namashaka nawasomi wetu nadhan waliklem point Vila kuangalia reality
Tukija kwenye utetez wake Waldo anasema kua kodi inakusanywa ili waboleshe miundombinu vijijin ili kumnufaisha mkulima,hapa napo utata mtupu hivi kwafikra za kawaida mkulima atanufaika kwa balabala ikiwa sokon bei ya hasara? hapa napo napata picha kua washaur Wa serikar kwa CHABO kwasababu maono yao kama ya dalasa la saba
Huwa najiuliza hivi mama kamsaliti baba? Kama hapana kwann anashindwa kuiendeleza ile missing aloicha baba?
R.I.P Maguli
Me kama mwanachama huru apa jf kuna mambo mawili (chanjo ya korona na tozo kwenye miamala) nashindwa kuyaelewa husan kwenye vipind hivi viwil vya utawala yaan utawa Wa jpm na huu Wa mama
Labda nianze na swala la corona me kwa kumbukumbu zangu nakumbuka kwenye utawala Wa jpm kuna karesearch ambacho kalifanyika nakuuonyesha kuwa had baadhi ya mazao (mapapai/mastafel/mafenes) yana COVID19 ivyo mzee akasema kua hakuna corona nashughuli zikaendelea kama kawaida ila baada ya kuingia Samia corona imekua IPO tena kiushenzi wanatuambia hili ni wimbi lapil viongoz ndio wamekua wapiga debe la chanjo huku wakizid kutuamasha wananch tukapate chanjo mbaya said wamesahau kua had mazao yetu nayo yana corona ivyo mi czan kama iyo chanjo itakua na umuhim kwasababu tunaenda kujikinga afu tukitoka hapo tunakula vyakula vilivyo asilika
Ukija swala la miamala Mr jpm yeye aliona njia nzur yamapato kwaserikar no kukusanya kodi kwa wafanyabiashara wakubwa pamoja na kutaifisha pesa za MAFISADI yan serikar na watu wakipato chachin ilikua kiroho safiiii shida imeanza kwa Samoa yeye ameamua kuwadekeza wafanyabiashara wakubwa na kufuata shauri za MAFISAD akaona njia nzuri yamapato nikuongeza TOZO kwenye miamala matokeo take malalamiko yamekua meng kwenye utetezi wake wakwanza alisema kati yawateja Million 50 watu million 30 ndio watahusika kwenye kodi hiyo
Huwa najiuliza je? Kwastatistic hiyo ya serikar inaonyesha kua lobo tatu yawatanzania wanauwezo huku 25% tu ndiyo maskin hapa bado namashaka nawasomi wetu nadhan waliklem point Vila kuangalia reality
Tukija kwenye utetez wake Waldo anasema kua kodi inakusanywa ili waboleshe miundombinu vijijin ili kumnufaisha mkulima,hapa napo utata mtupu hivi kwafikra za kawaida mkulima atanufaika kwa balabala ikiwa sokon bei ya hasara? hapa napo napata picha kua washaur Wa serikar kwa CHABO kwasababu maono yao kama ya dalasa la saba
Huwa najiuliza hivi mama kamsaliti baba? Kama hapana kwann anashindwa kuiendeleza ile missing aloicha baba?
R.I.P Maguli