Nashindwa kuelewa swala hili kuhusu siku

Nashindwa kuelewa swala hili kuhusu siku

SANDIA

Senior Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
108
Reaction score
29
Kama Wiki moja ina siku 7, mwezi mmoja una wiki 4, kwa maana hiyo mwezi mmoja una siku 28. Swali langu ni hili: kwanini miezi mingi ina 30 na 31 days? na kama mwezi mmoja una siku 28, basi mwaka mmoja uwe na miezi 13 na sio 12 kama tulivyokaririshwa....

MTAZAMO WANGU TU!
 
hata majina ya cku pia yalianzaje na nani alitunga wanaojua mtujuze
 
Kama Wiki moja ina siku 7, mwezi mmoja una wiki 4, kwa maana hiyo mwezi mmoja una siku 28. Swali langu ni hili: kwanini miezi mingi ina 30 na 31 days? na kama mwezi mmoja una siku 28, basi mwaka mmoja uwe na miezi 13 na sio 12 kama tulivyokaririshwa....

MTAZAMO WANGU TU!

Hii kitu ni very complicated aiseee. Ila hii ni kalenda ya mr.G wa Roma.

Mwenye kujua juu ya haya atujuze
 
huyu Gregori alitunga kalenda hii kwa maslah yake ya enzi hizo!
 
Kama Wiki moja ina siku 7, mwezi mmoja una wiki 4, kwa maana hiyo mwezi mmoja una siku 28. Swali langu ni hili: kwanini miezi mingi ina 30 na 31 days? na kama mwezi mmoja una siku 28, basi mwaka mmoja uwe na miezi 13 na sio 12 kama tulivyokaririshwa....

MTAZAMO WANGU TU!

Embu itumikishe tena akili yako, kwani mwaka una siku ngapi? 28 x 13 =??. Ni kweli kuwa wiki moja ina siku 7 na wiki nne zina siku 28, je mwezi wenye siku 30 una wiki ngapi? unahisi ni zaidi ya wiki ya nne? Najua kuwa kuna decimal hapo 4.2, ulitaka wasemeje? hata ukifanya approximation inakuja tano?

By the way, hii ni mojawapo tu kati ya maelfu ya kalenda zinazotumika duniani, kwa waarabu ipo hivyo kiasi fulani, za kichina zipo tofauti zaidi. Za kijapani zitakufanya uchanganyikiwe...., just agree with what you decided to accept
 
huyu Gregori alitunga kalenda hii kwa maslah yake ya enzi hizo!

Alitunga kwa maslahi gani?

Ivi huoni kwamba alitunga hivyo kwa mujibu wa mizunguko ya sayari over the sun thus why tuanapata miongo minne ya hali ya hewa kwa kila mwaka?
 
Embu itumikishe tena akili yako, kwani mwaka una siku ngapi? 28 x 13 =??. Ni kweli kuwa wiki moja ina siku 7 na wiki nne zina siku 28, je mwezi wenye siku 30 una wiki ngapi? unahisi ni zaidi ya wiki ya nne? Najua kuwa kuna decimal hapo 4.2, ulitaka wasemeje? hata ukifanya approximation inakuja tano?

By the way, hii ni mojawapo tu kati ya maelfu ya kalenda zinazotumika duniani, kwa waarabu ipo hivyo kiasi fulani, za kichina zipo tofauti zaidi. Za kijapani zitakufanya uchanganyikiwe...., just agree with what you decided to accept

Mkuu it seems uko njema kwenye hizi engo.

Hivi huyo mtu alietunga kalenda hiyo alizingatia nini kwa mzunguko wa mwaka?
 
Mkuu it seems uko njema kwenye hizi engo.

Hivi huyo mtu alietunga kalenda hiyo alizingatia nini kwa mzunguko wa mwaka?

Navyojua mimi asili ya calendar ya siku 365 1/4 chanzo chake ni Africa. Ilianzia Misri. Na ukifatilia kwenye vyanzo vingine utakuta kuwa makuhani wa kimisri ndio waliokuwa wa kwanza kugundua kwamba mafuriko ya mto nile yalitokea wakati nyota fulani (sirius) iliposimama kwenye position fulani. Then ukihesabu tangu isimame kwenye position hiyo hadi irudi tena kusimama in the same spot unapata siku 365. Huu ugunduzi waliutumia sana kama namna ya kuionya jamii kuhusu kukaribia kwa mafuriko. Karibu kalenda zingine zote (except Lunar) zinalalia uti huu wa mgongo.

Egypt The Ancient Egyptian Calendar
The Nile, the Moon and Sirius:
The Ancient Egyptian Calendar


By Richard Weininger

The star-sprinkled Egyptian night sky that not only stuns visitors to Egypt was also studied intensely by special temple priests who soon discovered that the appearance of a star they named sepdet (which we know as Sirius) was associated with the beginning of the Nile flood . This was the start of the world's first calendar, invented over 5000 years ago.


calander.jpg
To develop a calendar, you need a regular event that is predictable. And what was more regular and important to the ancient Egyptians than the rise and fall of the River Nile?
The waters started rising around the end of June, and the flood period (achet) lasted until October, covering the land with rich black mud and preparing it for the sowing and growing period (peret). The harvest time (schemu) started at the end of February and ended with the new Nile flood This predictable, ongoing cycle defined the agricultural year.
But there was a problem! The flood came within a range of 80 days with variable intensities .... all in all, not very accurate timing.
Sirius, or Sothis as it was called by the ancient Egyptians, the star who's heliacal rising was in early July 3000 years ago, but due to the wobble of the earth on its axis is now a few weeks later, turned out to be a very reliable predictor of the recurring flood and defined the exact length of the trip of the earth around the sun . (Sirius also revealed the entrance to the tomb of Akhenaton in the novel The Watch Gods by Barbara Wood. )
From their mythology, the Egyptians saw a connection between Sepdet's appearance and the beginning of the Nile flood. They believed the Nile flood was caused by the tears that Isis ( the Great Mother of All Gods and Nature ) shed, after her husband Osiris was murdered by his brother Seth. Sepdet was the cosmic appearance of Isis.
The first new moon following the reappearance of Sirius after it disappeared under the horizon for 70 days was established as the first day of the New Year ( Egypt: wepet senet) and of the achet (flood) period--even if the Nile had not yet started to rise.
The priests also observed there were four moon periods that fit into each of the three seasons --or rather didn't quite fit! The lunar month has 29 days, resulting in "short" or "long" years of 12 or 13 new moons.
It didn't really matter because the appearance of Sirius and the next New Year put the calendar back to baseline.
But, as in our times, this calendar was not accurate enough for the central administration; taxes and other things have to be paid on time. So in the Old Kingdom, a standard calendar with 12 months of 30 days each was introduced . Each month was divided into decades of 10 days.
Because this public calendar with 360 days was too short to coordinate with the agricultural and lunar calendar, five extra days called the heriu renpet were added at the end of the year and celebrated with religious festivities.
With this last calendar reform before Roman times, the ancient Egyptians missed the true length of the solar year by only day. But the missing days added up and the gap between the lunar calendar and the public calendar increased by one day every four years . So, in 1460 years the calendar slipped through a whole year, meaning that in between, according to one calendar, it could be harvest time, although in reality the floodwaters were just receding!
This little "big problem" wasn't solved until Augustus introduced the leap year in Egypt around 30 B.C.
Winter and spring are the best time to watch Sirius. In February, Sirius stands low in the southeast and is the brightest star in the sky go and look ------ and imagine the Egyptian priests doing the same 5000 years ago




Source: Egypt ? The Ancient Egyptian Calendar


Kalenda za Julius Ceasar zilikuja baadae sana na kwa kweli ni kama off shoot ya kalenda ya Misri. Hata calendar ya Gregorian ilianzishwa kwa vile ukitumia kalenda ya Julius ilikuwa inapoteza siku moja katika miaka kadhaa na hivyo kufanya makadirio ya lini itakuwa Pasaka kuwa magumu, ndipo Pope Gregory alipoitisha wataalam wa kanisa kusahihisha hii dosari na kuanzia hapo himaya yote ya kanisa ikaitumia
 
Embu itumikishe tena akili yako, kwani mwaka una siku ngapi? 28 x 13 =??. Ni kweli kuwa wiki moja ina siku 7 na wiki nne zina siku 28, je mwezi wenye siku 30 una wiki ngapi? unahisi ni zaidi ya wiki ya nne? Najua kuwa kuna decimal hapo 4.2, ulitaka wasemeje? hata ukifanya approximation inakuja tano?

By the way, hii ni mojawapo tu kati ya maelfu ya kalenda zinazotumika duniani, kwa waarabu ipo hivyo kiasi fulani, za kichina zipo tofauti zaidi. Za kijapani zitakufanya uchanganyikiwe...., just agree with what you decided to accept

Leo tarehe ngapi vile??
 
mwez una cku 28 tu,!Jiulze kwann mwez wa 2 hauishii 30 au 31!Na kwann wengn wanaabudu sunday wengn friday!Yote hayo kasome biblia utaelewa.
 
Kama Wiki moja ina siku 7, mwezi mmoja una wiki 4, kwa maana hiyo mwezi mmoja una siku 28. Swali langu ni hili: kwanini miezi mingi ina 30 na 31 days? na kama mwezi mmoja una siku 28, basi mwaka mmoja uwe na miezi 13 na sio 12 kama tulivyokaririshwa....

MTAZAMO WANGU TU!
Mkuu unapozungumzia kalenda kuwa specific unazungumzia kalenda ipi kwamaana zipo kalenda za aina mbali mbali.
 
Back
Top Bottom