Nashindwa kuliamini hili suala

Wakati wewe huamini kua demu anamcheat jamaa upande wa pili mimi siamini kua kuna demu anaweza kumlipia mwanaume ada
 
Mkuu haya mambo yapo hata mond pia japo alimpenda sana Zari, lakini pia alitaman na kumpenda kumla na mobeto,
So, ndio hicho kitu manzi anakifanya.
We ,potezea tu huta pata majibu yoyote ya kulizisha...
Mapenz ya kupenda kimoja tuwaachie nchi zingine tu.
 
My friend ukitoka kuongea na huyo dem wa "My friend wako" unipm namba zake my friend maana nahis namm ntamuhitaji ili niwe nakula mzigo na pesa napewa my friend naomba sana usiache my friend.
 
My friend wewe muite tu huyo demu , my friend ukishamuita muulize, my friend akisema ni kweli muonye, my friend akikataa nitumie namba yake mimuonye, my friend, my friend, my friend..
Hahaha
 
Kausha wewe acha umbea fullstop au unataka huduma ziamie kwako? Acha ungese wewe mind yours shit
 
My friend wewe muite tu huyo demu , my friend ukishamuita muulize, my friend akisema ni kweli muonye, my friend akikataa nitumie namba yake mimuonye, my friend, my friend, my friend..

My friend [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] namimi usisahahu kuniPM. Hiyo namba my friend [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
baby I love you only...you settled deep deep Inside my heart with strong security no one is dare to take you away!! your the love of my life, I will always cherish you and I will always take care of you and protect you...Love u so much mmmmwaaaaaaa!!!!![emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
alisikika jamaa mmoja akimdanganya demu ambaye anajua huyo demu anatoka na jamaa wa mtaa wa pili!!!
 
Moods ongezen kigezo cha umri kweny ku enroll member wapya maana watt wanakimbia kule fb,unakuta GT tuna argue na wale wako kwny foolish age
 
Huyo rafiki yako nae awe mvumilivu, kama mwanaume huna pesa na mfadhiri wako ni mwanamke hata ukimuona kaletwa nyumbani na BMW akakwambia Ile ni ubber we meza mate ukubali acha kulialia...... Si umeyataka
My friend unamshauri nini hiki πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…