Mgonga Like
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 1,255
- 1,659
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]My friend wewe muite tu huyo demu , my friend ukishamuita muulize, my friend akisema ni kweli muonye, my friend akikataa nitumie namba yake mimuonye, my friend, my friend, my friend..
Unafikiri ana mgodi wa fedha? Hizo fedha anazompa Marioo zinatoka kwa wafadhili z(michepuko) kama sisi ingawa ukweli anampenda my friend wako.Mimi nina rafiki yangu ambaye ana uhusiano na mwanamke fulani hivi na alishamtambulisha kwangu.Na kiukweli huyo mwanamke ana mpenda sana rafiki yangu nakumbukaga wakati my friend huyo mwaka wa mwisho chuo cha udsm wazazi wake walikuwa hawana hela ya kumpa so huyo demu wake ndio alilipa.
Huyo demu ana uwezo mkubwa tu wakifedha ana kazi nzuri pia familia yao pia inajiweza na huyo demu ampenda my friend akiwa my friend uwezo wa kifedha hana na wana uhusiano wa miaka 2 Hadi sasa.
Leo wakati nimekaa na my friend akaniambia demu wake anamsaliti nikamuuliza una ushahidi wowote maana nilishindwa kuamini akanimbia Nina ambiwa na watu lakini pia baadhi za message za demu ninashindwa kuzielewa vizuri.
Binafsi nimeshindwa kuamini kutokana na yule demu ninavyomfahamu na namna anavyompenda my friend Kuna kipindi my friend aliwekwaga selo lakini huyu huyu demu alimtoa kuna vitu vingi Sana huyu demu kavifanya kwaajili ya my friend hii ndio inanipa shida kuamini.
So leo nimepanga nikutane na huyu demu hili tuzungumze hili suala ili nijue ni kweli Mara nyingi huyu anifichagi kitu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndio ukweli huo japo mchunguMy friend unamshauri nini hiki [emoji23][emoji23]
[emoji23]Ebu soma huko, usitusumbue babazako....
Ebu soma huko, usitusumbue babazako....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maninerrr my friendMy friend wewe muite tu huyo demu , my friend ukishamuita muulize, my friend akisema ni kweli muonye, my friend akikataa nitumie namba yake mimuonye, my friend, my friend, my friend..
Mkuu tupe mrejeshoMimi nina rafiki yangu ambaye ana uhusiano na mwanamke fulani hivi na alishamtambulisha kwangu.Na kiukweli huyo mwanamke ana mpenda sana rafiki yangu nakumbukaga wakati my friend huyo mwaka wa mwisho chuo cha udsm wazazi wake walikuwa hawana hela ya kumpa so huyo demu wake ndio alilipa.
Huyo demu ana uwezo mkubwa tu wakifedha ana kazi nzuri pia familia yao pia inajiweza na huyo demu ampenda my friend akiwa my friend uwezo wa kifedha hana na wana uhusiano wa miaka 2 Hadi sasa.
Leo wakati nimekaa na my friend akaniambia demu wake anamsaliti nikamuuliza una ushahidi wowote maana nilishindwa kuamini akanimbia Nina ambiwa na watu lakini pia baadhi za message za demu ninashindwa kuzielewa vizuri.
Binafsi nimeshindwa kuamini kutokana na yule demu ninavyomfahamu na namna anavyompenda my friend Kuna kipindi my friend aliwekwaga selo lakini huyu huyu demu alimtoa kuna vitu vingi Sana huyu demu kavifanya kwaajili ya my friend hii ndio inanipa shida kuamini.
So leo nimepanga nikutane na huyu demu hili tuzungumze hili suala ili nijue ni kweli Mara nyingi huyu anifichagi kitu.
my friend my friend shaili sio shaili ngonjera sio ngonjeraMimi nina rafiki yangu ambaye ana uhusiano na mwanamke fulani hivi na alishamtambulisha kwangu.Na kiukweli huyo mwanamke ana mpenda sana rafiki yangu nakumbukaga wakati my friend huyo mwaka wa mwisho chuo cha udsm wazazi wake walikuwa hawana hela ya kumpa so huyo demu wake ndio alilipa.
Huyo demu ana uwezo mkubwa tu wakifedha ana kazi nzuri pia familia yao pia inajiweza na huyo demu ampenda my friend akiwa my friend uwezo wa kifedha hana na wana uhusiano wa miaka 2 Hadi sasa.
Leo wakati nimekaa na my friend akaniambia demu wake anamsaliti nikamuuliza una ushahidi wowote maana nilishindwa kuamini akanimbia Nina ambiwa na watu lakini pia baadhi za message za demu ninashindwa kuzielewa vizuri.
Binafsi nimeshindwa kuamini kutokana na yule demu ninavyomfahamu na namna anavyompenda my friend Kuna kipindi my friend aliwekwaga selo lakini huyu huyu demu alimtoa kuna vitu vingi Sana huyu demu kavifanya kwaajili ya my friend hii ndio inanipa shida kuamini.
So leo nimepanga nikutane na huyu demu hili tuzungumze hili suala ili nijue ni kweli Mara nyingi huyu anifichagi kitu.
Kanye west alikuwa na ushahidi wa video tape yenye kuonesha Kim k akikamuliwa lakini bado amemuoa. Sasa huyo rafiki yako mpuuzi anataka kumtema manzi kwa hadithi za kufikirika. Swine.Mimi nina rafiki yangu ambaye ana uhusiano na mwanamke fulani hivi na alishamtambulisha kwangu.Na kiukweli huyo mwanamke ana mpenda sana rafiki yangu nakumbukaga wakati my friend huyo mwaka wa mwisho chuo cha udsm wazazi wake walikuwa hawana hela ya kumpa so huyo demu wake ndio alilipa.
Huyo demu ana uwezo mkubwa tu wakifedha ana kazi nzuri pia familia yao pia inajiweza na huyo demu ampenda my friend akiwa my friend uwezo wa kifedha hana na wana uhusiano wa miaka 2 Hadi sasa.
Leo wakati nimekaa na my friend akaniambia demu wake anamsaliti nikamuuliza una ushahidi wowote maana nilishindwa kuamini akanimbia Nina ambiwa na watu lakini pia baadhi za message za demu ninashindwa kuzielewa vizuri.
Binafsi nimeshindwa kuamini kutokana na yule demu ninavyomfahamu na namna anavyompenda my friend Kuna kipindi my friend aliwekwaga selo lakini huyu huyu demu alimtoa kuna vitu vingi Sana huyu demu kavifanya kwaajili ya my friend hii ndio inanipa shida kuamini.
So leo nimepanga nikutane na huyu demu hili tuzungumze hili suala ili nijue ni kweli Mara nyingi huyu anifichagi kitu.
My frendi unacheka nini my frendi ?Ha ha ha
Kama sio 12yrs itakuwa 15yrs mwishoUna umri gan?
Mimi nina rafiki yangu ambaye ana uhusiano na mwanamke fulani hivi na alishamtambulisha kwangu.Na kiukweli huyo mwanamke ana mpenda sana rafiki yangu nakumbukaga wakati my friend huyo mwaka wa mwisho chuo cha udsm wazazi wake walikuwa hawana hela ya kumpa so huyo demu wake ndio alilipa.
Huyo demu ana uwezo mkubwa tu wakifedha ana kazi nzuri pia familia yao pia inajiweza na huyo demu ampenda my friend akiwa my friend uwezo wa kifedha hana na wana uhusiano wa miaka 2 Hadi sasa.
Leo wakati nimekaa na my friend akaniambia demu wake anamsaliti nikamuuliza una ushahidi wowote maana nilishindwa kuamini akanimbia Nina ambiwa na watu lakini pia baadhi za message za demu ninashindwa kuzielewa vizuri.
Binafsi nimeshindwa kuamini kutokana na yule demu ninavyomfahamu na namna anavyompenda my friend Kuna kipindi my friend aliwekwaga selo lakini huyu huyu demu alimtoa kuna vitu vingi Sana huyu demu kavifanya kwaajili ya my friend hii ndio inanipa shida kuamini.
So leo nimepanga nikutane na huyu demu hili tuzungumze hili suala ili nijue ni kweli Mara nyingi huyu anifichagi kitu.
Mambo magumu ScarsWakati wewe huamini kua demu anamcheat jamaa upande wa pili mimi siamini kua kuna demu anaweza kumlipia mwanaume ada