chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,079
- 2,273
Ndo hivo mkuuHiyo dawa Kali asee, miaka kumi?🤔
Usijifanye mjanja mkuuKwani Advance na ninyi hamjafungua?
Sahau kubali kush
Sio rahisi mkuuSahau kubali kushindwa
10 yrs? Hata kimuonekano si anakuwa outdatedSio rahisi mkuu
Amekuwa pisi Kali zaidi ya miaka ile10 yrs? Hata kimuonekano si anakuwa outdated
Naangalia njia ya kumtoa kwa mshikaji aliye naye kwa sasaKamfuate muoane!
Hiyo hali hadi kwangu inanikuta pia uwa najilaumu wale mademu ambao sikuwahi kuwala nikiwa mwanafunzi na kwa sasa siwezi kula mwanafunziInakuwaje wakuu,
Hii hali inanisumbua sana nashindwa kumsahau huyu mwanamke niliyekuwa napendana naye kipindi nipo o level. Tulishaachana na yeye alishapata mtu mwingine. Imepita takribani miaka kumi ila bado hatoki kichwani.
Ndo hivo bossHiyo hali hadi kwangu inanikuta pia uwa najilaumu wale mademu ambao sikuwahi kuwala nikiwa mwanafunzi na kwa sasa siwezi kula mwanafunzi
Kama ulimuacha kwa madhereu kazi ipo, ila mnyime attention mpotezee ukizidi kumuonesha unampenda sana ndio unamfukuzia mbaliAmekuwa pisi Kali zaidi ya miaka ile
Ampotezee mpaka lini unaoambiwa miaka kumi imeshapitaKama ulimuacha kwa madhereu kazi ipo, ila mnyime attention mpotezee ukizidi kumuonesha unampenda sana ndio unamfukuzia mbali
Ampotezee jumla miaka 10 ni mingi sana n kujitesa bureAmpotezee mpaka lini unaoambiwa miaka kumi imeshapita
Ila jikaze kaka mapenzi sio ya kukuwazisha sana mimi mwanamke aki ni ignore hata siwazi sana maana najua wapo wengi tena wazuri kumpitaNdo hivo boss