digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Habari waungwana,Leo tena naomba kuwasilisha hoja ifuatao:-
Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.
Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiintelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola, Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na Jeshi la Serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.
Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu, bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake, na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena, Watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania,mbariki Rais wetu pamoja na Viongozi wote wa chama na Serikali
Nawasilisha.
Katika historia ya ukombozi Wa bara la Afrika katika kujiondoa katika makucha ya Wakoloni na mabeberu waliokuwa wakinyonya bara la. Afrika tunakutana na huyu bwana Jonas Savimbi kutoka Angola.
Kiongozi huyu huyu alikuwa maarufu sana kwa vita vya msituni ambapo habari za kiintelijensia zinadai kuwa Jamaa huyu alikuwa akitumiwa na Mabeberu ili kuvuruga amani na maridhiano ya Taifa la Angola, Mabeberu walimtumia ipasavyo mpaka alipo kuja kuuawa na Jeshi la Serikali la Angola mwaka 2002 kwa kumiminiwa risasi mfululizo na hapo ndio Angola ikapata amani na utulivu.
Kwa Tanzania yetu ya leo tunaye Jonas Savimbi ambaye ni Lissu, bwana huyu amekuwa na nyendo za kutaka kuiingiza nchi katika makucha ya mabeberu kwa manufaa yake, na amekuwa akijiapiza kuwa lazima taifa la Tanzania lisiwe kisiwa cha amani tena, Watanzania wenzangu tuwe makini na akina Jonas Savimbi ambao wanatumika na mabeberu ili kuvuruga amani ya nchi yetu.
Mungu ibariki Tanzania,mbariki Rais wetu pamoja na Viongozi wote wa chama na Serikali
Nawasilisha.