Nashindwa kurudisha moyo kwa mpenzi wangu baada ya kurudiana

Mm pia ilishanitokea situation kama yako mkuu,miaka 4 nimevumilia kuja kupewa mzigo bikra hamna nilipiga chini huo mzigo,hivi wanafunzi wa Udom wana matatizo gan sababu na huyo wangu alikuwa anasoma hapo hapo Udom
 
Good point[emoji736][emoji736][emoji736]
 
Kabisaa yani
 
Amesema msimpopoe [emoji23][emoji23]
Na ndo nilichojua hcho ,,, maana wangeanza mpaka kutaka na umri haya nimewawekea waseme jingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hilo swala la bikra kutoka kwa kazi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
ukimuuliza hayo maswali ukipata majibu vhuki yote itaondoka utakua na amani sana chief. muulize hayo maswali yako mawili yanayokutatiza ujifanyue wepesi.. unaubebesha moyo wako mzigo ambai hauna benefit yoyote, unaichosha tu akili.
Sawa mkuu
 
Kwakuwa umesema tusikupopoe, basi Mimi nitaakupopolesha

Km hivo viwili vinakuumiza ukikutana na mwenyew vitisa +je?

By the way ukimuacha na usipokuwa na roho ya kusahau utaangukia single mamy ili mshee na upopoe vzuti.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pamoja mkuu
 
We unakaaje na demu amakukubali na anataka kutolewa bikra alaf ww unamchelewesha, Hapo ndipo ulikosea ila Ganga yajayo yaliyo pita sindwele
 
Mm pia ilishanitokea situation kama yako mkuu,miaka 4 nimevumilia kuja kupewa mzigo bikra hamna nilipiga chini huo mzigo,hivi wanafunzi wa Udom wana matatizo gan sababu na huyo wangu alikuwa anasoma hapo hapo Udom
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] me nashauri mke wa kuoa huwezi mpta chuo wapo wachache sanaa
 
Mm pia ilishanitokea situation kama yako mkuu,miaka 4 nimevumilia kuja kupewa mzigo bikra hamna nilipiga chini huo mzigo,hivi wanafunzi wa Udom wana matatizo gan sababu na huyo wangu alikuwa anasoma hapo hapo Udom
Demu wa chuoo hawa vumiliki ww akikubali force ule mzgo
 
oa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…