Nashindwa kurudisha moyo kwa mpenzi wangu baada ya kurudiana

Poa mkuu
 
Mkuu Nina kisa kama chako age (25-28)

Ila Mimi uyu dada naishi nae + kanizalia Mtoto wa kiume (handsome sna [emoji28]) Ila bad enough alitolewa birka na Dogo mmoja alinipa iyo story..

Still uyo dogo mpaka now anasoma Dah hii feeling inauma sna,, naishi nae basi tu

Ila Mimi ushauri wangu siku zote oa mwanamke bikra,, !
Upendo unakuja Tu wenyewe
 
Unajishugurisha na nn umeajiriwa au umejiajiri???
 
Ukweli huu[emoji848]
 
We mpoteze utarudi na thread ingine...ila mapenzi ndivyo yalivyo
 
Acha nae huyo mpuuzi
Halafu njoo PM unipe hela ya beer

Mwanamke ni mnafiki kwa asili sasa jukumu lako akikuletea unafiki usimsamehe maana atarudia tena mbeleni NI LAZIMA arudie mbeleni

Sawa Mr.B a.k.a option 2.

Ingawa unaweza kut.ombatomba kipindi unatafuta mwanamke wa kueleweka,sawa good boy wazee wa kula makombo
 
Mtu anakuwa na laini mficho, hiyo hukaa sehemu usiyoidhani..
Ukiondoka tu inawekwa, wanapenzika weee, anaitwa, anakuja, anapakua, anakula, ananawa, anamkiss,anashukuru, anam hug,anapanda pikipiki anaondoka. Laini inatolewa, inawekwa mafichoni. Unarudi umechoka.. Unapokelewa, wana Ku hug,unapekua simu, kila kitu kiko mahali pake.. Unamcheki alivo unafurahi kaumbika ila umechoka Leo, unauhakika nacho maana ni chako, huli usiku huu utakula werkend.. Naye anakushukuru kimoyo😂😂. Kesho anakuaga vizuri unaenda job.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mwanamke anaakili Sana kushika simu yake siyo kigezo kabisa .


Anaye na anapigwa miti vzr sana

Cha msingi ww amua kumuacha au kumuoa basi

Lkn kitu cha simu au kutonyimwa ni Jambo jingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…