Nashindwa kuwaelewa wabongo

Mmanyema

Member
Joined
Nov 14, 2016
Posts
25
Reaction score
26
Kila nikisikikiliza zilipendwa ya Mond na seduce me ya Kiba then nkihusianisha na comments za watu mtandaoni nashindwa kuelewa kama me nimedownlod nyimbo tofaut na zenu au sikio langu lmepinda

panua upaja mkwaju waja
 
Kila nikisikikiliza zilipendwa ya Mond na seduce me ya Kiba then nkihusianisha na comments za watu mtandaoni nashindwa kuelewa kama me nimedownlod nyimbo tofaut na zenu au sikio langu lmepinda

panua upaja mkwaju waja
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwani umegundua nn?
 
Kila nikisikikiliza zilipendwa ya Mond na seduce me ya Kiba then nkihusianisha na comments za watu mtandaoni nashindwa kuelewa kama me nimedownlod nyimbo tofaut na zenu au sikio langu lmepinda

panua upaja mkwaju waja
Umenichekesha unavyo shangaa ndiyo nami ninavyoshangaa Chuki zote ni za nini na sababu ya hayo malumbano nini? Labda kuna anayejua lengo la hayo malumbano
 
Kila nikisikikiliza zilipendwa ya Mond na seduce me ya Kiba then nkihusianisha na comments za watu mtandaoni nashindwa kuelewa kama me nimedownlod nyimbo tofaut na zenu au sikio langu lmepinda

panua upaja mkwaju waja
Wakati unaendelea kuwashangaa wabongo naomba nikutaarifu tu kuwa leo TRA imetangaza kazi walioonekana kwenye usaili inasemekana ni 3000 na nafasi zinazotafutwa ni 45 pia kumbuka kuwa hao ni wale waliosoma masomo ambayo at least yanaweza kuajirika TRA case study maswali yaliyoulizwa.. Je ni wangapi wapo Idle? Kazi yao nini kama siyo kujiunga na hizi Team zinazoongozwa na Waha wa Kigoma? Au Umesahau Zitto Kabwe akiamua kuanzisha Team inavyo Bamba? Au Kafulila? Mkuu hizi Jemba za Kigoma ukizifuatilia utaumiza Kichwa... Ommy Dimpozi Kigoma, Ally Kiba Kigoma , Dimond Kigoma.

Kifupi Wabongo hatuna Vipaumbele kwenye maisha yetu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…