Nashindwa kuwaelewa Wakenya!

Nashindwa kuwaelewa Wakenya!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Yani Maua peke yake ndiyo yanayawafanya mtake kusaini free trade agreement na European Union, the World's richest continent by far wakati sisi ni World's poorest continent by far!
Isitotoshe EU ina watu zaidi ya milioni 500 sisi tuko 120 tunawezaje kushindanan nao?
Ukiondoa Maua mtauza nini tena EU? Mnafahamu kwamba EU wana weza kuuza kila kitu kwetu?
Na isitoshe Maua yenyewe yanamilikiwa na hao hao Wazungu, wao ndiyo wanaolobby ili wapate super profit kwamba waexport Maua kwao EU tax free halafu fedha yote kwa kuwa wenye mashamba ya maua ni hao hao Wazungu inabakia Europe!

Ndiyo maana nashindwa kuelewa kwa nini Kenya inapigia kelele sana EPA wakati bidhaa pekee wanayoweza kuuza ni Maua, lkn wanasahahu kwamba Wazungu wanaweza uuza kila kitu, wataleta Maziwa, Mayai ya Kuku, mpaka textiles hapa kwetu tax free ...


watch
 
Tulia ndani,mambo ya jirani achana nayo mke wangu,maneno ya nini,vijembe vya nini-Ottu jazz
 
we do not think small like you guys and never fear competing on the business front. Your fears are invalid
 
One,

what Tanzania stands to lose is chicken shit compared to what Kenya stands to lose. We are neighbors but we are not in the same league. [HASHTAG]#realitycheck[/HASHTAG]

Two,

this a "bird in hand is worth two the bush" for kenya. We need to protect what we got otherwise we will have nothing to build on.

The trick/key for kenya is discerning how far it needs to go to protect its horticulture and commercial agricultural sectors.
 
One,

what Tanzania stands to lose is chicken shit compared to what Kenya stands to lose. We are neighbors but we are not in the same league. [HASHTAG]#realitycheck[/HASHTAG]

Two,

this a "bird in hand is worth two the bush" for kenya. We need to protect what we got otherwise we will have nothing to build on.

The trick/key for kenya is discerning how far it needs to go to protect its horticulture and commercial agricultural sectors.


Ngoja nikuulize swali horticulture ni asilimia ngapi ya Uchumi wa Kenya? Yaani how much does Kenyan Government earn from flower export in (%) ?
 
Is it only flowers that Kenya exports to the EU, Barbarosa?
Though small whatever we export to the EU, Kenya's intention is to avoid the taxes that would be imposed on its goods to the EU, as that would adversely affect its struggling industries.
 
Is it only flowers that Kenya exports to the EU, Barbarosa?
Though small whatever we export to the EU, Kenya's intention is to avoid the taxes that would be imposed on its goods to the EU, as that would adversely affect its struggling industries.
Unajua utapoteza kiasi gani cha pesa usipotoza ushuru bidhaa za kutoka EU? Kitachopotea ni kikubwa kuliko kitachopatikana.
 
Unajua utapoteza kiasi gani cha pesa usipotoza ushuru bidhaa za kutoka EU? Kitachopotea ni kikubwa kuliko kitachopatikana.
It is a dicey situation for us all, kilam. We are damned if we sign the agreement, we are damned if we dont. The manner in which this agreement has been rendered.....it puts us all between a rock and a hard place. Refusing to sign the agreement will not in any way save our industries, for to whom will we sell our products? The goods to the EU from the EAC will be subject to the taxes. It's up to us to chose what we think is the lesser of the two evils.
 
Back
Top Bottom