TAHADHARI;Ucmtongoze kwa cm na kama ulikuwa na mazoea nae plz punguza msalimie ukiwa umetabasam co unachekacheja,
Mualike cku 1, then anza kumuuliza yeye kama yeye anapenda kuwa na mwanaume wa aina gan? (white, black, tall, shot au wastan), but anaweza akakujbu cfa 1wapo then ww utamuuliza kwann? Kasema hivyo, pia muulze swal la kizush kama ana mme coz hujawah kumuona, madem cku hz hawatongozwi cku nying mwambie moja kwa 1 kuwa UNAMPENDA na unataka kuwa nae ili muondoleane upweke akkujbu anam2 wake tell her uko radhi akupe hata 5%, hlf hizo 95% ampe huyo aliye nae, endelea kumnyenyekea 2 kwa kipnd hiki cha mpito jioneshe kuwa unamhitaji sana.