Nashukuru kwa kumpata mke wangu mtarajiwa kwa kupitia hapa

Nashukuru kwa kumpata mke wangu mtarajiwa kwa kupitia hapa

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
3,411
Reaction score
4,435
kipepe JR.
mbele yenu waungwana.
once again!

ebana kwanza niwashukuru waliolianzisha jukwaa hili, kwani ndio walionifanya sasa nimempata 'wife material'

siku chache zilizopita, niliweka bandiko hapa ya kua nahitaji mpenzi, nikaweka sharti awe mzuri, nashukuru mungu nimempata niliemtaka na jana tumefanikiwa kukutana.

japo watu walichukulia kama masihara, lakini nashukuru nimempata mpenzi niliemtaka, ama hakika ni binti mrembo sana, mwenye tabia njema na uzuri wa asili.


asante sana Matilda kwa kulitilia maanani bandiko langu, mpaka ukakubali kuwasiliana namimi na kukutana namimi, mpaka sasa tumekua wapenzi, nakupenda sana.


nawashukuru wote.
 
Naona hata Matlida mwenyewe haja weka reply yake. hapa kuna walakini. kuwa makini siku moja ya kuonana haaimaanishi kuwa ndio umewini. Usisite kutupa update siku ukimega tunda tafadhali. ama hata kutualika kny harusi.
 
Nadhani kuna sehemu atakuwa anamegwa muda huu,akili zao wanazijua wenyewe.
 
Naona hata Matlida mwenyewe haja weka reply yake. hapa kuna walakini. kuwa makini siku moja ya kuonana haaimaanishi kuwa ndio umewini. Usisite kutupa update siku ukimega tunda tafadhali. ama hata kutualika kny harusi.
Nimemuambia ajitoe jf
 
Ah wapi, wife material?
Hongera Sana mkuu wanawake wazuri wapo humu mm nilimpata mmoja humu sitamtaja jina lakini wapo ila alikuwa anapenda hela huyo kama mfuko tuliachana kwa sababu hiyo
 
Back
Top Bottom