Nashukuru Mungu sijapangiwa IFM !!!!

Kinacho mata ni ubongo chuo ni mbwembwe tu
 

siku zote masikini akipata ma.ta.k.o hulia mbwata. Ni hilo tu!!
 
we jamaa sio mzima kama ulikua unataka SAUT si ungeomba direct ata mwenye principle 1 yuko pale kuliko kupoteza 30000 bure duuuuh!
NAUNGA MKONO BAN KWA UYU JAMAA
 
Hii mtoto imetoka wapi??? alafu naona inafikiria kwa kutumia masaburi
 
Hahaha, we chalii asee dah... Kila wakati nikisoma maelezo yako nacheka sana!!! Choice 6 za ardhi na ifm zote down , then watu wengne wamepewa nafasi ifm kwa kua wanavigezo japokua hawakuchagua... Ww arifu umeweka kozi 3 ifm hujapata alafu unaponda???? unaonesha we ni mburula HD, samahani lakini!!!
 
na bora ulivyokuwa hujapangwa..!maana ungeanza kupaka poudeer na wewe!mshukuru sanah mungu wako!
 

nimeacha wosia kwa wanangu wasisome SAUT TUMAINI NA UDOM
 

hahaha i couldn't agree more
 

umetisha, i like dat
 
daaah.kasumba ya kuzarau vyuo sijui itaisha lini...kwani maisha mpaka usome UD,SUA ,MZUMBE au UDOM...kweli watz tunasafari ndefu
 

MALUMBANO YA VYUO HUMU NDANI NI KATI YA FANI ZA ARTS NA ENGINEERING.Inaonyesha wazi kabisa kuwa wasomi wengi waliosomea fani hizi(Arts na Engineering) walisoma kwa kufuata bendera upepo na si kwa kudhamiria wanataka kuwa kina nani baada ya maomo yao ya sekondari na elimu ya juu.Tatizo wengi humu ni watotowadogo wanaanza kuelewa masuala ya vyuo baada ya kumaliza form six.Sisi tuliosoma enzi hizo tuliandaliwa kabisa kama unataka kufanya kazi vyama vya ushirika baada ya form six unachagua kwenda Chuo cha Ushirika Moshi,Ukitaka kufanya mbuga za wanyama unakwenda Mweka,Ukitaka kufanya mambo ya Kodi,bank,Uhasibu unakwenda IFM,ukitaka kuwa Medical Doctor unakwenda Muhimbili.siku hizi vijana wanasoma bendera fuata upepo ndio maana akifika form six hajui achague pa kwenda kwa hiyo anachagua chuo ili mradi tu amefika chuo kikuu.Kutokana na kuchanganikiwa na kuwa na upeo mdogo anaanza kuona chuo fulani ni bora kuliko kingine.Madoctor(Medical Doctor) ndio pekee nawasifu sana wanajiamini na elimu inayotolewa na vyuo wanavyosomea fani ya udaktari(Medical Doctor).Hongereni madokta (medical doctor) wetu msishiriki kwenye malumbano ya kukandiani kwenye fani zenu ila muwe na umoja wa kufikiria jinsi ya kuongeza ufanisi kwenye kazi zenu bila kujali wewe umesoma wapi?
 
Hukupangiwa IFM kwa sababu hukuwa na sifa za kujiunga na hicho chuo.Ndiyo maana SAUT ukiwa na hata division two ya form six unaweza kuchaguliwa kusomea sheria direct, lakini UDSM huwezi kuchaguliwa sheria direct ukiwa na division two.
Unavyosema yeyote humu ndani angechaguliwa IFM angejisikiaje,inategemea mtu mwenyewe ulivyosoma malengo yake yalikuwa awe nani baada ya kumaliza elimu ya juu.
 
mr ada shda au mtaj!m na2a ifm na nashukuru tcu kunipanga huko ckuomba!cfa nilizonazo wamenipeleka hapo na nacmama kufanya kaz naend kusoma hope tutaonana kpnd cha chuo uwe ukpost maisha na mitihan ya SAUT,Angalia usiishie njian
 

six ulipiga div ngapi kilaza wa fikra.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…