Nashukuru Mungu sijapangiwa IFM !!!!


sio 2 bali kuna jamaa ana 3 16 kaenda kusomea law
 
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza vijana muwe mnauliza wa kubwa zenu siyo mnakurupuka tu,yaani hujishangai vyuo umepanga kwa priority umepanga last priority badala utafakari jinsi gn utaenda kusoma huko usiwe mtu tena wa last priority unaanza kujifariji.Jiangalie dogo usije ukamaliza chuo na ukakosa PRIORITY na mtaani utajuta kuzaliwa!.....
 
kuna neno 1 huwa anapewa mtu mwenye uwezo mdogo w kufikili nalo si jingine ni KILAZA
 
..kilaza...kilazier...kilaziest.. Mtoa mada.
 
kila nikimsoma huyo jamaa nasikia kichefuchefu ungekua hujachaguliwa popote ungerembulia wapi wacha kejeli mi mwenzako nina two lakini mpaka sasa tcu wananizingua nabado wanasema wanashughulikia ningepata IFM ningehic nipo haera so we baada yakupata ndo unajifanya sizitaki mbichi hizi unabweka tu wakati hung'ati huo ni ulemavu wa fikra
 
Nimepoteza muda na nguvu zangu bure kusoma uzi huu
 
Anayedic chuo flan hajisom,,,et utackia kampuni yanatangaza nafac za kaz alafu mwishoni wanasema **ANGALIZO---Awe amesoma UDOM*** ACHENI MAMBO YA KIZAMANI,,,SWALA C CHUO,,,SWALA NI efficiency ya kaz,,na kupata kazi
 
We mjinga huna akili kabisa unafikiri waliopanga hawana akili kama wewe, au wametumia ****** kama ulivyofanya mtihani wako wa necta?? Kama ungekuwa na akili ungeenda havard university *****, isitoshe kozi uliyopangiwa ni ya kisenge huko saut, **** u!!
 

Harvard ya Baba ako???

Kila Mtu anajua Kutukana ...Sa Mi harvad Ya Nini....
 
huyu dogo anahitaj msaada wa kisaikolojia. Mwenye ujuz amsaidie tafadhali
 
nawe akili yako haina tofauti na mtoa mada, tofuti ipo katika uelekeo wa mnachokizungumza.
Shame on you!
 
Embu acheni Sasa Ku Update hii Post...
Mwisho Leo...

msimamo wangu IFM =Institute of Failure Management

we dogo siyo mzima, unadhani huo msimamo unakusaidia nini sasa? Huoni kama na wewe ni failure na ndiyo maana uliomba nafasi huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…