Nashukuru ubatizo wa mwanangu umeisha salama sasa ataitwa Ben Membe.

Nashukuru ubatizo wa mwanangu umeisha salama sasa ataitwa Ben Membe.

Bongo kuna siasa za ajabu!!
Ghafla kila ktk thread 10 unakuta 6 zinamhusu Membe.

Inaweza kuwa mkakati wa kumuangamiza Membe kisiasa aonekane anataka kumng'oa mtu.

Au ni mkakati rasmi wa kumrudisha kwenye ramani za siasa za kugombea uraisi ndungu Membe.

Yote kwa yote naona mkakati ambao hautafanikiwa iwe kumuangamiza au kumuinua kisiasa. Na akifanikiwa basi awamu yake itapata shida kama zile alizokutana nazo JK.
 
Back
Top Bottom