Yani si mchezo aise.membe kafanyaje yaani week yote ni yy tu
wakuu kama kuna mgao unapita hivi,,hii fursa nimeiokosaje
Ulitakiwa umuite lile jina la lodilofa au yohana mbatizajiMwanangu kabatizwa leo sasa ataitwa Ben Membe naamini atalitendea haki jina hilo la kimataifa ili aje awe wa kimataifa na yeye kama mzee membe
Mwanangu kabatizwa leo sasa ataitwa Ben Membe naamini atalitendea haki jina hilo la kimataifa ili aje awe wa kimataifa na yeye kama mzee membe
Watu wameanza kupata kiwewe! Waliposikia jina la Mbembe matumbo yaliwaka moto,mfanowe yule jamaa mwenye jina la huzuni na majonzi yaani Msiba. Wanamtuma alonge apendavyo ili kuwakata maini vidume,lkn jamaa bado wameng'ang'ania hilo jina kuu la MEMBEBongo kuna siasa za ajabu!!
Ghafla kila ktk thread 10 unakuta 6 zinamhusu Membe.
Inaweza kuwa mkakati wa kumuangamiza Membe kisiasa aonekane anataka kumng'oa mtu.
Au ni mkakati rasmi wa kumrudisha kwenye ramani za siasa za kugombea uraisi ndungu Membe.
Yote kwa yote naona mkakati ambao hautafanikiwa iwe kumuangamiza au kumuinua kisiasa. Na akifanikiwa basi awamu yake itapata shida kama zile alizokutana nazo JK.
Mkuu mpaka kufikia leo unatoa hitimisho gani?Bongo kuna siasa za ajabu!!
Ghafla kila ktk thread 10 unakuta 6 zinamhusu Membe.
Inaweza kuwa mkakati wa kumuangamiza Membe kisiasa aonekane anataka kumng'oa mtu.
Au ni mkakati rasmi wa kumrudisha kwenye ramani za siasa za kugombea uraisi ndungu Membe.
Yote kwa yote naona mkakati ambao hautafanikiwa iwe kumuangamiza au kumuinua kisiasa. Na akifanikiwa basi awamu yake itapata shida kama zile alizokutana nazo JK.
Naona Membe na watu walio nyuma yake wakishindwa.Mkuu mpaka kufikia leo unatoa hitimisho gani?