Nasikia eti walituletea shanga na vioo vya kujitazama kwa kubadilishana na madini kama vile dhahabu.

Nasikia eti walituletea shanga na vioo vya kujitazama kwa kubadilishana na madini kama vile dhahabu.

Billie

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2011
Posts
13,588
Reaction score
22,752
Wote Waafrika na wazungu ni binadamu ila wenzetu wamekuwa wakifanya mambo ya kipekee sana kiasi hata sisi(waafrika) bila wao tusingeyafikilia chukulia mifano mingi sana ihusuyo Technology,twende kwenye maradhi,mavazi na hata muonekano wao utagundua hawa jamaa ni special creation.Yaani kama kungekuwa tunatengenezwa na kiwanda hawa jamaa ni orijin sis fake.Nimejikuta naropoka yote hayo kutokana na kujiuliza swali kichwani kwa nini hawa jamaa wanaongoza kila kitu kizuri na sisi tunaongoza kwa vitu vibaya mfan umaskin,maradhi nahisi hata akili wanatupita ndo maana innovation kwa vitu vingi imefanywa na wao.Niliishi Mbez beach ambapo familia nyingi za wabongo waliosoma na kuyaona maisha wanaishi kwa wingi ila nilipokuwa napepeza macho nilikuwa nagundua kabisa hapa anakaa mzungu pale mbongo bila hata ya kuulizia yaani jamani nina mengi sana jaribu hata kuangalia sura ya nchi yetu Tz alafu ufananishe na nchi kama uswiz utashangaa kwa nini hatuendelei,check hata shule na makanisa yaliyojengwa enzi zao alafu check shule zitokanazo na mkono wa mbongo kisha linganisha ubora wake.Aisee imefika point hadi najiuliza si Afrika origin yetu wapi ikiwa Adamu na Eva(Hawa) ni white pipo.Na je tunatofautiana nao nin hadi wanatuburuza kwenye kila kitu kilicho kizuri.Hebu nijuzeni maana nimeshaanza kuisi kama mablack tunawasindikiza wazungu.
 
These peoples are far away, we can't catch them until the end of this World.
 
Au Kwenye... "Habari na Hoja mchanganyiko!"

MMU Mahusiano,Mapenzi na Urafiki hapo sipo kwenye mahusiano kweli au hadi kangono katajwe kidogo au sio ndo post ibaki MMU? Ma mode watalitendea kazi wao ndo wanajua vigezo tusubiri kweli leo nimerenga vibaya au ndo yaleyale Waafrika kila siku ni watu wa mistake.
 
Kama great thinker hebu fikiria ni jinsi gani au chanzo cha kuwa nyuma katika maendeleo mfano wa hapa Watu wenye uwezo wamekuwa wakiwanyonya watu wenye kipato cha kidogo pamoja na serikali isiyo jari wananchi wake,
MOD amisha uzi huu kwenye hili jukwaa maana siyo sehemu yake.
 
MMU Mahusiano,Mapenzi na Urafiki hapo sipo kwenye mahusiano kweli au hadi kangono katajwe kidogo au sio ndo post ibaki MMU? Ma mode watalitendea kazi wao ndo wanajua vigezo tusubiri kweli leo nimerenga vibaya au ndo yaleyale Waafrika kila siku ni watu wa mistake.

sawa Mkuu,Mtoa Mada Ni Wewe Nami Ni Mkumbushaji Tu!
Kwa Jinsi Nilivyoielewa Thread...Naona Kama Haijapewa Haki Ya Eneo Husika!
Ok!Turudi Kwenye Hoja Yako,kuna Swali Huwa Najiuliza..Katika Uumbwaji.."Mtu Mweusi Na Mweupe,Yup Alitangulizwa!??"

Waafrika Tunarudishana Nyuma Sisi Wenyewe!
Vilevile Kuanzia Utoto Mpaka Ukubwani,Hakuna Mpangilio Rasmi!...Mfano Ukifuatilia Mfumo Wa Elimu Kwa Wenzetu,Toka Kuzaliwa Kwa Mtoto Mpaka Ukuaji!...Ni Tofauti Kabiii..sa!.
 
Back
Top Bottom