Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,172
Sijawaelewa bosswapigie voda mkuu
Hawajakupeleka mahakamani tu?..!!NADAIWA huko mwaka wa 3 sasa
Unafanyaje yani mkuu.Hao jamaa mwanzoni walikua poa sana tukawa tunasajiri line za kutosha na kuwatandika ssa ivi mbinde ila AIRTEL walikua watamu sana
kwa sheria gani?Hawajakupeleka mahakamani tu?..!!
kwa sheria gani?Hawajakupeleka mahakamani tu?..!!
[emoji23][emoji23]wahuni hao, niliwekaga milioni 2 ikakaa kama mwaka nikapewa kiwango cha kukopa...kila nikikopa naambiwa nikasajili laini nikaenda ofisini kwao wakadai hata wao hawaelewi tatizo ni kwanini hawataki kunikopesha nikaachana nao nikatoa pesa zote nikala kitimoto zikaisha. wahuni tu, airtel ndio nikaona hawana uhuni kama wa hawa wajuha