Basima Ogenze
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 786
- 881
HaaaahaaaNazidi kujifunza kitu kupitia mrembo huyu.. I swear unakitu Cha kipekee kabisa ningetamani ningekuwa karibu yako so I could get some sort of mentorship on this throughout my life..
kwenye Biblia takatifu Kuna habari ya mwanamke aitwae Abigael ana sifa Kama zako.
Well raised...
Sent using Jamii Forums mobile app
Gharama inategemea na uliponunua na Ujazo wa Sabuni na kuhusuGharama yake ipoje na kimatumizi huwa inaweza kudumu kwa muda gani kwa mtu mmoja?
Sawa mkuu!Gharama inategemea na uliponunua na Ujazo wa Sabuni na kuhusu
Muda wa kukaa kwamimi natumiaga zaidi ya mwezi mzima zangu ni 1.5Ltr or 2Ltr
mafuta unatumia mafuta gani?Gharama inategemea na uliponunua na Ujazo wa Sabuni na kuhusu
Muda wa kukaa kwamimi natumiaga zaidi ya mwezi mzima zangu ni 1.5Ltr or 2Ltr
Sikweli kwamba sabuni za vipande zinaambukiza fangasiMie uwa natumia shower gel tu nyumbani kwangu maana sabuni za kawaida zinaambukiza fangasi haswa kwa watoto kama wanashare na dada wa kazi
Matumizi yake imeshaelezwa huko juu ila pia naona kama ni nafuu kuliko sabuni za kushika sijui niziitaje. Natumia DOVE Goat Milk ukimaliza kuoga bafuni kote kunanukia utadhani kwenye ndege
una shauri ntumie ipi? nataka kuwa soft si unajua tena[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwezi na nusuGharama yake ipoje na kimatumizi huwa inaweza kudumu kwa muda gani kwa mtu mmoja?