Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
- Thread starter
-
- #61
Lipia tangazo mkuu
Tangazo lipi? huoni kuna wengine waliosikia??Usingemtaja Uwoya mkuu, uzi umeshapotea huu, mimi pia nimesikia mishindo nipo Mwanamboka hapa
Hivi hizi habari za delicious ni kubwa hivyo mjini hapo?Ndio... Bongo Muvi wengi pia... Kwa wale wanaopenda kina James Delicious wapo kwa wingi.
Duu hatari saaana, mil. 3 kwa game la siku moja. Huku mikoani milioni mil.3 inatosha kulipia gharama za mahari hadi ndoa. Mwambie jamaa yako asirudie kuelekeza kwenye matumizi yasiyo na tija.Wanawake wa bongo movie Malaya hawa,huyu wa clouds kuna jamaa yangu kapiga kwa milioni 3
Hivi hizi habari za delicious ni kubwa hivyo mjini hapo?
Mimi siku za karibuni nazisikia sana nikawa naona kama ni homophobia tu.Sad.
Hapo Shekilango yote Bamaga mpaka National Housing , hususan kipande cha Mori Checkpoint mpaka Makaburini viwanja vyangu sana siku hizo za Bongo. Weekend kama hivi Jumamosi jioni Checkpoint tunafunga muziki wetu mkubwa, watu wanakunywa na kufurahi, usiku unatembea tu nyumbani karibu.
Leo nikirudi nakuwa mgeni.
usimpangie mtu na Pesa yake,hauwezi jua anayo kiasi gani ,pengine hiyo milioni tatu kwake ni ela ya madafu tu,anaitoa kama vile ananunua vocha,hatufanani kama alama za vidoleDuu hatari saaana, mil. 3 kwa game la siku moja. Huku mikoani milioni mil.3 inatosha kulipia gharama za mahari hadi ndoa. Mwambie jamaa yako asirudie kuelekeza kwenye matumizi yasiyo na tija.
Yani hata kuja likizo mgogoro, unaweza kutaka kujikumbusha viwanja vyako, ukakuta vimebadilika mpaka unaona si viwanja unavyovijua tena.Siku hizi pia unatembea bila ya Wasiwasi miaka ile ulikuwa unakutana na Walinzi ila sasa hivi ni tofauti kila Nyumba na Uchochoro unakutana na Group la Wadada na Baadhi ya Wakaka poa... Wakikusumbua sumbua... Na wamejipanga haswa.
1.Mabonge-Sinza Mori Bar
2.Vimbau-mbau Corner Bar Afrika Sanaa Streach mpaka Hongera Bar Ustawi.
3.Wachafu-Wachafu Kuanzia Corner Bar Afrika Sanaa Streach mpaka Sinza Mori.
4.Kaka Poa. Jumamosi zote wapo Soccer City Lounge,Siku zote kwa Love Jirani na Meeda, Kwa Irene Uwoya na Baadhi hujikita La Chaaz Ijumaa.
5.Wakaka na Wadada Wauza Sura na waomba Bia na hela (Wadangaji)... Hawa wapo maeneo ya Beach Kidimbwi na Kwa Christabela Mwingira Nyuma ya Mapambano Primary.
Mabadiliko ni makubwa sana..Yani hata kuja likizo mgogoro, unaweza kutaka kujikumbusha viwanja vyako, ukakuta vimebadilika mpaka unaona si viwanja unavyovijua tena.
Nilirudi kipindi hapo Mori kuna place imejengwa next to Checkpoint hapo, yani Dar yangu mwenyewe nimekuwa kama mgeni.
Wadogo zangu wakawa wananitembeza, nikawa nataka kushuka Kinondoni kwa Manyanya ku surprise visit some family, wananiambia hapa kushuka saa wewe mgeni na vi backpack hivi mgogoro, watu wanaweza kuona nafasi.
Nikasema hapa nahitaji crew, maana unaweza kutembea mitaa ukafikiri hii ni mitaa ile ile ya 1997, ukajikuta ume boogie step umekanyaga miwaya sehemu tofauti.
Mkuu wa Mkoa PM Hajambo?Aiseee
Watangazaji,waigizaji,wasanii na wanasiasa wote wa kike Tanzania ni Malaya so,wanafanya umalaya kwa mgongo wa sanaa au siasa!Wanawake wa bongo movie Malaya hawa,huyu wa clouds kuna jamaa yangu kapiga kwa milioni 3
Ni mtangazaji gani huyo?Sio Leo enzi za kikwete
Dah ama kweli life isn't fairWanawake wa bongo movie Malaya hawa,huyu wa clouds kuna jamaa yangu kapiga kwa milioni 3
Dunia simama nishuke!Siku hizi pia unatembea bila ya Wasiwasi miaka ile ulikuwa unakutana na Walinzi ila sasa hivi ni tofauti kila Nyumba na Uchochoro unakutana na Group la Wadada na Baadhi ya Wakaka poa... Wakikusumbua sumbua... Na wamejipanga haswa.
1.Mabonge-Sinza Mori Bar
2.Vimbau-mbau Corner Bar Afrika Sanaa Streach mpaka Hongera Bar Ustawi.
3.Wachafu-Wachafu Kuanzia Corner Bar Afrika Sanaa Streach mpaka Sinza Mori.
4.Kaka Poa. Jumamosi zote wapo Soccer City Lounge,Siku zote kwa Love Jirani na Meeda, Kwa Irene Uwoya na Baadhi hujikita La Chaaz Ijumaa.
5.Wakaka na Wadada Wauza Sura na waomba Bia na hela (Wadangaji)... Hawa wapo maeneo ya Beach Kidimbwi na Kwa Christabela Mwingira Nyuma ya Mapambano Primary.
Haaahaaa...una mzux na mibangi?Duke Tachez rudisha ile ya avatar ile yule jamaa namkubali sana huwa nkiona picha yake inabidi nisome tu ulichoandika,haya kimbia hapo baani kwa Uwoya
Hivi hizi habari za delicious ni kubwa hivyo mjini hapo?
Mimi siku za karibuni nazisikia sana nikawa naona kama ni homophobia tu.Sad.
Hapo Shekilango yote Bamaga mpaka National Housing , hususan kipande cha Mori Checkpoint mpaka Makaburini viwanja vyangu sana siku hizo za Bongo. Weekend kama hivi Jumamosi jioni Checkpoint tunafunga muziki wetu mkubwa, watu wanakunywa, wanachoma nyama na kufurahi, usiku unatembea tu nyumbani karibu.
Leo nikirudi nakuwa mgeni.
How often do you go back?
Manake mi sasa hivi nikikatiza mitaa hiyo haipiti dakika bila mtu kutaja jina langu na kunisalimu!
Having said that, the Kangi Lugolas of TZ would encourage a vacay in Turks and Caicos, Jamaica or Barbados before a sojourn to Upanga,Oysterbay, Kisarawe or Kayenze anytime soon.
I was watching Azam tonight, the ministry spokesperson was categorical in reassuring citizens that genuine travelers ought not to be concerned. He went to a great deal of explanation to point out that they are focused on human trafficking, and as long as one has all ones' papers in order, one shouldn't be concerned.This Lugola character has me concerned a little bit. Not shook. Just a little bit concerned.
But screw him. He ain't gonna do shit.
I was watching Azam tonight, the ministry spokesperson was categorical in reassuring citizens that genuine travelers ought not to be concerned. He went to a great deal of explanation to point out that they are focused on human trafficking, and as long as one has all ones' papers in order, one shouldn't be concerned.
Of course having all ones papers in order could be a tall order, even for jet set globetrotters.