Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
- Thread starter
-
- #101
Jana MkuuMbona nimepita maeneo hayo mda si mrefu sijaona wala kusikia tukio lolote
Au limetokea baada ya mm kupita
Hamba kaka, mjini ninkufake tu.daaaah kwaiyo gigy[emoji14] akatoa papa mkuu [emoji13] [emoji13] jamaa yako nae mkali wa kujibrand
mchizi alitishaHamba kaka, mjini ninkufake tu.
Sasa ww unakutana na manz unaanza na papara, anakuona mlimbukeni tu
DAH LEO NILIKUWA NA MPANGO WA KUUFUFUA HUU UZI BORA ULIVYOLETA MREJESHOLeo imerejea kumbe ni Lijamaa linaliza mafla ya Gari Shuwaini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hyo milio inaitwa ANT LAG au kwa lugha nyepesi ni BACKFIRE ... kuna mchizi wangu ana evo 6 lancer gari yake ikipiga antlag utasema mabomu kila siku anaitwa kwa balozi majirani zake wanamshtaki kwa kelele [emoji23][emoji23]