Nasikia show ya diamond jana usiku kule uganda imebuma vbaya mno

kifimbocheza_

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2017
Posts
1,119
Reaction score
1,095
Daaah waganda siyo watu wa mchezo mchezo wamegoma kabisa kuhudhulia show ya domo, na walioenda wanaiponda vbaya mno kuwa ilikuwa ni show mbovu kuwahi kutokea.....mwenye picha zaidi atusogezeee.
 
Sio ile muzaha ya Allelu.......

God is great, no one should dare never ever to disobey........
 
Daaah waganda siyo watu wa mchezo mchezo wamegoma kabisa kuhudhulia show ya domo, na walioenda wanaiponda vbaya mno kuwa ilikuwa ni show mbovu kuwahi kutokea.....mwenye picha zaidi atusogezeee.
WATU WENGINE WALITAKIWA WAZALIWE AFGHANSTAN AU SOMALIA. SASA KINACHOKUWASHA WEWE NI NINI KUMBE HATA PICHA HUJAZIONA UMEKULUPUKA NA CHUPI YAKO KUJA KUANDIKA UPUUZI HAPA!! UMBEA NI TABIA PIA!!
 
Bwa mdogo hebu endelea kupambana na hali yako
 
Daaah waganda siyo watu wa mchezo mchezo wamegoma kabisa kuhudhulia show ya domo, na walioenda wanaiponda vbaya mno kuwa ilikuwa ni show mbovu kuwahi kutokea.....mwenye picha zaidi atusogezeee.

Hebu tuambie ukweli we mama... Mtoto Nillan mdogo wake Tiffah umezaa na nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…