kasulamkombe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,232
- 2,491
KAZAA NA MTANZANIAHebu tuambie ukweli we mama... Mtoto Nillan mdogo wake Tiffah umezaa na nani?
Peleka roho mbaya mbelee uko...we umeingiza how much kwa hii habari yakipuuz????Tatzo siyo hela ndugu, tunaangalia profile apo tyr kajichafulia CV. Siku nyingne hawez pata show uganda.
HUYU KIFIMBO CHEZA ANA WIVU KAMA MCHAWIPeleka roho mbaya mbelee uko...we umeingiza how much kwa hii habari yakipuuz????
Watanzania watu wa ajabu sana yan wanapenda watu ote wawe masikini
Daaah waganda siyo watu wa mchezo mchezo wamegoma kabisa kuhudhulia show ya domo, na walioenda wanaiponda vbaya mno kuwa ilikuwa ni show mbovu kuwahi kutokea.....mwenye picha zaidi atusogezeee.
Daaah waganda siyo watu wa mchezo mchezo wamegoma kabisa kuhudhulia show ya domo, na walioenda wanaiponda vbaya mno kuwa ilikuwa ni show mbovu kuwahi kutokea.....mwenye picha zaidi atusogezeee.
Mbona kama ugomvi ivWATU WENGINE WALITAKIWA WAZALIWE AFGHANSTAN AU SOMALIA. SASA KINACHOKUWASHA WEWE NI NINI KUMBE HATA PICHA HUJAZIONA UMEKULUPUKA NA CHUPI YAKO KUJA KUANDIKA UPUUZI HAPA!! UMBEA NI TABIA PIA!!
Show mbovu kuwahi kutokea utafikiri anaimba msiban.Watu mnavichambo kama waimba taarabu au kuna isha mashauz humu asee mada mmeianzisha wenyewe mnaiverify wenyewe afu mnajifanya kushauliana achen ujinga
Mond always ni man of the match hajawah kukosea show by the way siku hiz tunafanya movies no more shows
Kichwa cha chini kinamuendesha sana mdogo wngKwa yanayoendelea acha tu ibume.
Dogo hatulii.
Acha umbeya na wivu utakufa kabla ya umriDaaah waganda siyo watu wa mchezo mchezo wamegoma kabisa kuhudhulia show ya domo, na walioenda wanaiponda vbaya mno kuwa ilikuwa ni show mbovu kuwahi kutokea.....mwenye picha zaidi atusogezeee.
WATU WENGINE WALITAKIWA WAZALIWE AFGHANSTAN AU SOMALIA. SASA KINACHOKUWASHA WEWE NI NINI KUMBE HATA PICHA HUJAZIONA UMEKULUPUKA NA CHUPI YAKO KUJA KUANDIKA UPUUZI HAPA!! UMBEA NI TABIA PIA!!