Nasikia show ya diamond jana usiku kule uganda imebuma vbaya mno

Kichwa cha chini kinamuendesha sana mdogo wng


Ndio maana kila siku nasema, tuliopewa hili rungu tunalaumiwa bure tu. Mtihani wake ni mkubwa sana, tunajifanya waaminifu kwasababu tunakosa timing tu, lakini tukiipata rungu lazima lichape mtu.
 
Kwani mm nimefurahishwa au nimesema kilichotokea kuna ubaya gani apo......tatzo hatupendi kusikia ukwl.
 
Mwimbaji wa Bongofleva [HASHTAG]#DiamondPlatnumz[/HASHTAG] amevunja rekodi ya kujaza Mashabiki kwenye uwanja Uganda.
_
Pamoja na Nchi hiyo kutotumia lugha ya Kiswahili kama lugha ya taifa na kutoalika sana Wasanii wa Bongofleva kama ilivyo Kenya na Burundi, Mashabiki waliojitokeza wameonesha kuzijua nyimbo za [HASHTAG]#DiamondPlatnumz[/HASHTAG]
_
[HASHTAG]#MillardAyoUPDATES[/HASHTAG]
 
Unakakaa kijiji gani hizo habari umeota usiku ingia kwenye account zake mitandaoni ukaone balaa la mtoto wa tandale Simbaa
 
Ni vizuri kabla hujatoa uzi kwanza ujiridhishe kwa ku balance story maana unaposema kitu ambacho huna uhakika nacho au kwa kusikia barabarani utaonekana huna maana na siku hizi hakuna ujanja ujanja mitandao kibao na jana tv ya Uganda ilikuwa inaonyesha live hebu tuache chuki zisizo na sababu hatujengi na kama ingekuwa ni kweli ilibuma ingeonekana show ibume huku mashabiki wanaimba na mwanamuziki au alinunua mashabiki
 
Nimesikia siku hizi diamond wanamuita "BIG"...wabongo kwa majina bana!!

Keshaonesha ubig wake Uganda tunamsubiri Zenji aje ajaze uwanja wa Amani...BIG hana mpinzani.
 
Umefatilia hata you tube au unaongea ongea tu mkiitwa wachawi mnachukia...
 
Aisee!! Yeye hajatuwekea picha hata moja ila anatuambia mwenye picha zaidi aweke. Tuko Bongo Bahati Nzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…