Nasikitika mechi za kesho nyingi, Man utd timu yangu itaonyeshwa kweli?

mwisho2016

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2016
Posts
724
Reaction score
625
Habari za mchana wa leo chungu ya 6 Ramadhani kwa wenzetu Muslim asalam alykum.

Kesho ni mwisho wa msimu wa ligi kuu ya England, timu zote zitaingia uwanjani. Competitive timu kama Chelsea na spur, Man city na liberpo japo liver hachukui kitu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapa emirates,tutaonyesha mechu ya liver,na ile ya man city kwa kweli
 
Habari za mchana wa leo chungu ya 6 Ramadhani kwa wenzetu Muslim asalam alykum.

Kesho ni mwisho wa msimu wa ligi kuu ya England, timu zote zitaingia uwanjani. Competitive timu kama Chelsea na spur, Man city na liberpo japo liver hachukui kitu
Mechi zote zitakua live, ila mechi nyingi yatakua yanaonyeshwa matukio muhimu hasa zile za top four na zinazo shuka.Kitu kingine tafuta live streaming utaipata mechi uitakayo.
 
Usijali ingia kwenye uzi wa link, utakua link ya kila game
 
Unataka uone Herrera + Valencia wakicheza game ya mwisho?!
Tofauti na hapo haina umuhimu wowote iyo game.
 
Habari za mchana wa leo chungu ya 6 Ramadhani kwa wenzetu Muslim asalam alykum.

Kesho ni mwisho wa msimu wa ligi kuu ya England, timu zote zitaingia uwanjani. Competitive timu kama Chelsea na spur, Man city na liberpo japo liver hachukui kitu
Liverpool S4
Tottenham S5
Arsenal S7
Chelsea S8
Man U S9
Man City 10
 
Man u mnagombea nini??????
Kesho tunaangalia
Man city
Liverpool
Ilo takataka utaliona kwenye marudio
 
Huyu chesy angemuachia asernal ubingwa Europe ili acheze elite league
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…