Kwa sasa Simba ina uhaba wa wachezaji wenye quality ya kimataifa, wamekuwa kama Arsenal!
Boko, Saido, ni tatizo. Chama, ni slow sana kwenye michezo ya kuamua game.
Onyango, umri unamtupa mkono, kasi itamuua uwanjani.
Kocha ana uwezo sana wa kutumia wachezaji waliopo ILA apewe wachezaji anaowataka.
Kitendo cha kumtumia NYONI kuidhibiti YANGA ni uwezo uliotukuka ambao wengi au wote hatukuuona, mbinu za kimedani.
Kwa Wydad, wakicheza hivi na kuruhusu wale wehu kujiangusha angusha, KIPA asiyeweza kudaka wala kupunguza goli, basi mwisho umefika!
Job well done Simba.
Yanga, endeleeni kuwategemea mafisadi kununua ligi na mechi.