Nasimama na Rais Magufuli kwenye kuchukua tahadhari dhidi ya Corona na napinga matumizi ya chanjo inayopigiwa kampeni na dunia


Nasimama na rais John Pombe Magufuli, nakataa chanjo ambayo sijaielewa kwa sasa
 
Viongozi ndio wananunua sio kwa ridhaa ya wananchi. Hiyo chanjo sisi wananchi tusioamini ushirikina kama nyinyi tunaitaka.
Kaitafute unywe!
Matusi yanini sasa? Tuache Sisi washirikina tusiotaka chanjo, wewe kaitafute ujinywee!
 
Endelea tu kusimama nae akutie mimba ya mgongo pengine akili zitakurudia
 
Unasimama nae au unalala nae? Maana marehemu hawezi kusimama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…